EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,560
- 12,677
Mbona ni kama wana maisha magumu tu kama sisi tena inawezekana magumu kuliko hata sisi
Inawezekana asilimia kubwa ya Wabongo wanaokimbilia huko wanaishi kwenye hizo slums.Duuh mkuu hauko serious aisee yaani hizo slums ndiyo umetolea kama mfano wa maisha ya wadizonga wote ama? Tembelea urban areas za miji mikubwa kama Johannesburg, Pretoria, Durban, Cape Town, East London na Bloemfontein nk halafu uje ufananishe na bongo yetu hii ndiyo utajua haujui!
Yeah ni kweli ila hata wabongo wanaoishi maisha mazuri pia wapo wengi, kule mbongo ukiwa na elimu kubwa au ukiwa muuza ngada mwenye connection yako unatoboa.Inawezekana asilimia kubwa ya Wabongo wanaokimbilia huko wanaishi kwenye hizo slums.
Ok.Wewe una uzoefu na Bondeni??.Yeah ni kweli ila hata wabongo wanaoishi maisha mazuri pia wapo wengi, kule mbongo ukiwa na elimu kubwa au ukiwa muuza ngada mwenye connection yako unatoboa.
Hizo slums haziwezi kosekana kwenye nchi yoyote ile hata huko marekani zipo, na hata wazawa wenyewe wapo wengi tu wanaojichanganya kwenye hizo slums siyo foreigners tu.
Umesahau pia wanarudi na cheni za silvertunakimbilia kuuza madawa ya kulevya,wezi aka michomoko,wauza matunda,wezi wa magari na kutoboa ili tukirudi bongo tuje na simu mnunue
Mkuu hii ndo south.A pekee unayoijua!!!Mbona ni kama wana maisha magumu tu kama sisi tena inawezekana magumu kuliko hata sisi
View attachment 1945536
Cha maana kwake ni kuwa yuko South Africa,ni kitu cha thamani sana kwenye akili yake...Mbona ni kama wana maisha magumu tu kama sisi tena inawezekana magumu kuliko hata sisi
View attachment 1945536
Binti kiziwi connection tafadhali ili nitoboe maisha kama weweFursa ni nyingi, vitu vingi ni affordable ikiwemo chakula, mavazi na makazi. Ukitaka makazi ya bajet yako hukosi na sometimes unapata mtaa mzuri kabisa. Vitu vingi si anasa kama Magari, electronics appliances, hata mtu wa maisha ya kawaida anaweza kuafford.
Shida ya ile nchi Crime rate iko juu sana, hivyo kuna mitaa si ya kuishi unless na wewe ni mkora.
Mi mbona sijatoboa rafiki angu? au kutoboa ni kufanyaje.Binti kiziwi connection tafadhali ili nitoboe maisha kama wewe
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Hahaaa....unanishangaza sana we Malkia, we ulikuwa unamaanisha kutoboa nini maana nilimaanisha kufanikiwa kimaisha hasa hasa maendeleo ya kiuchumiMi mbona sijatoboa rafiki angu? au kutoboa ni kufanyaje.
Ngoja tumuulize Fiderine IrangaMbona ni kama wana maisha magumu tu kama sisi tena inawezekana magumu kuliko hata sisi
View attachment 1945536
PointFursa ni nyingi, vitu vingi ni affordable ikiwemo chakula, mavazi na makazi. Ukitaka makazi ya bajet yako hukosi na sometimes unapata mtaa mzuri kabisa. Vitu vingi si anasa kama Magari, electronics appliances, hata mtu wa maisha ya kawaida anaweza kuafford.
Shida ya ile nchi Crime rate iko juu sana, hivyo kuna mitaa si ya kuishi unless na wewe ni mkora.