Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

Wewe Kiingereza unaongea vizuri sana. Inategemea umekunywa kinywaji gani na sehemu gani; Kvant/Konyagi/Hisaje/Facebook
 
Watanzania au wewe ni viwanafunzi vyako sisi ni kiswahili au kikabila tuu
 
Shada ya wabongo wamezoea kukariri tu na kuongea bila aibu halo ya kuwa wanaleta -broken language
 



It is not unlawful= it is lawful.
 
"Unless" ni badala ya neno "If not" shida kubwa tuliyonayo wabongo ni ya walimu wa hovyo wa Lugha. Kingine watu hatupendi kuendelea kujifunza Lugha mara tunapotoka shuleni(tunapomaliza).


Unless= If----not and in certain case means "until when".
 


Huku Tanzania kuna shida nyingi sana:

  • Sabaya.
  • Mbowe.
  • Mauaji ya Petrol.
  • Mauaji ya Mkaa.
  • Tozo
  • na mengine kibao!

Unless otherwise can’t be our priority!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…