Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Ni warembo kwa upande wa mabinti
Waghoshi soi kunu, kuna bahau jetiondo mbui!!!
Ekana na wanyika hao mghoshi, ngetiwatoe zongo waeke du!!
Am proud kuwa msambaaa..kuna lingine?
Huwaga nasikia ati wasambaa wana jua sana yale mambo yetu yaleee hivi ni kweli??Pia nasikia wanajua sana kulea wanaume na kupiga hapo ndio kabisa.Naomba kuwafahamu hawa watu
Ujighwa nndai?
Osie Elli so umuwee uyu king'eng'ezi avyohopa aha.
kwa upande wa wasambaa source ni mimi mwenyewe
Sio Bumbuli, ni Bumbui
Mosie wanyika n`wadashi ekana nao.Waeke du wakikombe..nitawaonyeshe mbui wamake..!
wakike ni wapole nahata umpigeje haondoki ila ukimuoa ndio ujue umeoa ukoo wote
wakiume wahuni kila anakoenda kutafuta maisha anazaa n kuacha mke
tabia ya ujumla ni wakarimu sana na wanajali utu wa mtu,wanajua kubembeleza mnoooooooo
Wanaongoza kwa kushikashika miguu ya mama na dada zetu kisa eti wanasafisha kucha. Walah, siku nikimkuta anadusugua miguu ya my wife, navunja miguu ya mwanamke na yeye namvunja kiuno.