Hivi wanawake wa Kimasai nao wanachepukaga?

Hivi wanawake wa Kimasai nao wanachepukaga?

Mkuu kuchepuka ni tabia ya mtu haiangalii kabila wala antena mbn kuna wanyi... wapo ktaa hapa hawana antena lakin ni shidah
 
Wanachepuka sana tu tena kichakani wakikata kuni huko kuna mambo yuko mmoja jiran yangu anapenda issue balaa
 
Kuna jamaa alichepuka Na masai, ile Masai ikamwambia mumewe ile mteja wetu wa maziwa nimechepuka nayo,... baba yoyo naye naye kaenda kwa jamaa impe nke yake ipige punga. Ilitokea vurumai mke wa jamaa alipogoma Masai ilitaka imchome kisu mshikaji hadi majirani walipofika Masai akawaambia hii jamaa imelala mke wangu cc kiutamaduni Na Mimi natakiwa kulala Na mke wake. Sasa mke wa jamaa ananinyima punye lazima anipe. Wakamwomba mbadala wa kulipa akadai ni ng'ombe mmoja mshikaji ikabidi alipe ng'ombe, ilitokea mbingu mkoani morogoro
 
kwa ninavyoijua jamii yangu(maasai), suala la kuchepuka lipo ila ni kwa siri sana (against law),wivu hatunaga
 
Kuchepuka ni dhambi kama dhambi ingne tu huku uswailini kwenu, hatuchepuki na ile habari ya mkuki si kweli ni analiwa mzigo ni kwamba hizo fimbo ziko tofautitofauti kulingana na umr so akija mgeni au mwanao anaiacha mlangoni incase akija mgeni mwngne wa jinsia yoyote kwa kuangalia hiyo fimbo anatambua pana mgeni na ni wa rika flani.
Heshma umasaini kwetu zinakwenda kulingana na rika rika la chini lzma aheshm rika la juu yake ndivyo inavyokwenda.
Kuchepuka ni kama Mume hayupo mybe hajulikani alipo miaka mi3 kwenda mbele mwanamke anauwezo wa kuzaa na mtu mwngne ila asiwe rika la chini ya mume wake ama rika la baba zao.
Ikitokea bax umechepuka ukakutwa na mume mkayamaliza poa ila akimaind ukirudshwa kwenu unarudishwa na wamama wakubwa na wewe mwenyewe ndio utakaoambia wazazi wako nimekamatwa na mwanaume so wazazi wanatafuta blangeti lbd na kret ya bia anapelekewa mume wako sasa vile mume kafatwa na rika kubwa la baba zake uwezi kuwakatalia anakusamehee unarudi kwako maisha yanaendelea.
Umasaini kugegedana ni kwaajili haswa ya kuzaa, watoto thamani yake inakaribiana na mifugo kwani usipokuwa na watoto mifugo atachunga nani ndo maana wanaoaga wake zaidi ya m1.
Mwanamke mume akitaka kuongeza mke anakwambia wewe ndio unatafuta mwanamke anakutafutia mwanamke mzuri mwenye tabia njema anakuposea. Mwanamke ukiolewa ukija lzm umuheshmu uliyemkuta maana ni mkubwa wakoo na hata mume akija akitaka mzigo anaweza akamtuma mke mkubwa kaniitie flani. nk
 
Kuchepuka ni dhambi kama dhambi ingne tu huku uswailini kwenu, hatuchepuki na ile habari ya mkuki si kweli ni analiwa mzigo ni kwamba hizo fimbo ziko tofautitofauti kulingana na umr so akija mgeni au mwanao anaiacha mlangoni incase akija mgeni mwngne wa jinsia yoyote kwa kuangalia hiyo fimbo anatambua pana mgeni na ni wa rika flani.
Heshma umasaini kwetu zinakwenda kulingana na rika rika la chini lzma aheshm rika la juu yake ndivyo inavyokwenda.
Kuchepuka ni kama Mume hayupo mybe hajulikani alipo miaka mi3 kwenda mbele mwanamke anauwezo wa kuzaa na mtu mwngne ila asiwe rika la chini ya mume wake ama rika la baba zao.
Ikitokea bax umechepuka ukakutwa na mume mkayamaliza poa ila akimaind ukirudshwa kwenu unarudishwa na wamama wakubwa na wewe mwenyewe ndio utakaoambia wazazi wako nimekamatwa na mwanaume so wazazi wanatafuta blangeti lbd na kret ya bia anapelekewa mume wako sasa vile mume kafatwa na rika kubwa la baba zake uwezi kuwakatalia anakusamehee unarudi kwako maisha yanaendelea.
Umasaini kugegedana ni kwaajili haswa ya kuzaa, watoto thamani yake inakaribiana na mifugo kwani usipokuwa na watoto mifugo atachunga nani ndo maana wanaoaga wake zaidi ya m1.
Mwanamke mume akitaka kuongeza mke anakwambia wewe ndio unatafuta mwanamke anakutafutia mwanamke mzuri mwenye tabia njema anakuposea. Mwanamke ukiolewa ukija lzm umuheshmu uliyemkuta maana ni mkubwa wakoo na hata mume akija akitaka mzigo anaweza akamtuma mke mkubwa kaniitie flani. nk

i like this!! vipi na wewe bado unakubaliana nayo!!!
 
Kuchepuka ni dhambi kama dhambi ingne tu huku uswailini kwenu, hatuchepuki na ile habari ya mkuki si kweli ni analiwa mzigo ni kwamba hizo fimbo ziko tofautitofauti kulingana na umr so akija mgeni au mwanao anaiacha mlangoni incase akija mgeni mwngne wa jinsia yoyote kwa kuangalia hiyo fimbo anatambua pana mgeni na ni wa rika flani.
Heshma umasaini kwetu zinakwenda kulingana na rika rika la chini lzma aheshm rika la juu yake ndivyo inavyokwenda.
Kuchepuka ni kama Mume hayupo mybe hajulikani alipo miaka mi3 kwenda mbele mwanamke anauwezo wa kuzaa na mtu mwngne ila asiwe rika la chini ya mume wake ama rika la baba zao.
Ikitokea bax umechepuka ukakutwa na mume mkayamaliza poa ila akimaind ukirudshwa kwenu unarudishwa na wamama wakubwa na wewe mwenyewe ndio utakaoambia wazazi wako nimekamatwa na mwanaume so wazazi wanatafuta blangeti lbd na kret ya bia anapelekewa mume wako sasa vile mume kafatwa na rika kubwa la baba zake uwezi kuwakatalia anakusamehee unarudi kwako maisha yanaendelea.
Umasaini kugegedana ni kwaajili haswa ya kuzaa, watoto thamani yake inakaribiana na mifugo kwani usipokuwa na watoto mifugo atachunga nani ndo maana wanaoaga wake zaidi ya m1.
Mwanamke mume akitaka kuongeza mke anakwambia wewe ndio unatafuta mwanamke anakutafutia mwanamke mzuri mwenye tabia njema anakuposea. Mwanamke ukiolewa ukija lzm umuheshmu uliyemkuta maana ni mkubwa wakoo na hata mume akija akitaka mzigo anaweza akamtuma mke mkubwa kaniitie flani. nk

Umeelezea vizuri sana.... Ningependa nifahamu zaidi kuhusu hawa watu.... NitakuPM unipe maelezo zaidi
 
Wamasai wanachepuka balaa, tena chepuka yao haiangalii pochi, swaga wala uhandsome wa muombaji wanachoangalia ni rika, je wee upo rika na mumewe? Kama ndio basi kiroho safi unamenyewa tunda, hata baba nanii akijua hua sio big case! Hakuna wivu tena mechi inapgwa hapohapo hom kwa mama nanii mchana kweupe!
 
Hivi masai nae ni mtu??


Jamani hayo sasa matusi yasivumilika. Watu wengine humu ndani utadhani wanatumia ninihii kuzungumzia badala ya mdomo. Mtu na akili zako unawezaje kukashfu kabila la mtu na kuona sio binaadamu. Pierre tall unapokosa namna ya kuchangia hoja, kukaa kimya ni busara zaidi kuliko kuharibu mfumo wote wa uchangiaji.
 
Mimi sina haja ya malumbano maana sijui pia malezi uliyokulia, Pengine umekulia kwenye familia ambayo inajiona kuwa wao tu ndio binaadamu. Na pia sijui upeo wa uweleo wako.
 
Jamani hayo sasa matusi yasivumilika. Watu wengine humu ndani utadhani wanatumia ninihii kuzungumzia badala ya mdomo. Mtu na akili zako unawezaje kukashfu kabila la mtu na kuona sio binaadamu. Pierre tall unapokosa namna ya kuchangia hoja, kukaa kimya ni busara zaidi kuliko kuharibu mfumo wote wa uchangiaji.

Mkuu kuwa mpole,wakati mwingine kuwa serious sana hakusaidii,mbona huwa mnachangia sana hapa makabila mengine yakiwa yanapondwa hapa kama wachaga na wahaya??..kuwa mpole mkuu..
 
Back
Top Bottom