Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Jamani eeh..Hivi hawa wanawake wa Kimasai waliopo huku mijini wanachepuka?
Kama wanachepuka vipi wakiwa ulingoni ubora wao upoje?
Naamini kwa ukubwa wa JF,wapo watu walisha pata uzoefu wa maswali yangu.
Eehhh...Nilikuwa nimesahau jambo moja.
Hivi wanaume wa kimasai wanayale mapenzi ya kuwashika mademu zao mikono wawapo barabarani?
Hapa nazungumzia wamasai wale waporini kabisa,Wanao abudu tamaduni zao na mila.Sio kama wale watoto wa Ole sendeka na Laiza wamasai wa mjini.Wanaomfahamu Jay Z na Diamond.
Kama wanachepuka vipi wakiwa ulingoni ubora wao upoje?
Naamini kwa ukubwa wa JF,wapo watu walisha pata uzoefu wa maswali yangu.
Eehhh...Nilikuwa nimesahau jambo moja.
Hivi wanaume wa kimasai wanayale mapenzi ya kuwashika mademu zao mikono wawapo barabarani?
Hapa nazungumzia wamasai wale waporini kabisa,Wanao abudu tamaduni zao na mila.Sio kama wale watoto wa Ole sendeka na Laiza wamasai wa mjini.Wanaomfahamu Jay Z na Diamond.