Hivi wanawake mna nini nyie!

Hivi wanawake mna nini nyie!

Wanazingua mbaya, mm dem hata awe mkali kiasi gani au niwe namuona kiwango akishaanza my nikuombe kitu? Fasta namjibu hapana usiniombe!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Alaah kumbe unawatongoza mabinti, sasa unadhani mabinti akili zao zipo sawa? Wewe huoni hata humu kuna mabinti ukisoma post zao unajua kabisa huyu ubongo wake umeamia matakoni.
We jamaa umenifanya nicheke. Kirefu cha jina lako mkuu n nini
 
Halafu hiki kitambia msichana mnabadilishana namba Siku mbili mbele anaomba umuazome hela inaudhi, kibaya zaidi wadada wanaongoza kwa kutorudisha hela wakiazima! Unasikia my naaomba niazime elfu 30 wiki ijayo nakurudishia, then anaongezea ujue nimekumis my! Shenzi kabisa mm siku hizi nawatolea mbavuni tu!
Anajua akikuambia naomba hautampa lkn akija kwa gia ya kuazima aaaah faster anapewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom