Hivi wanawake mna nini nyie!

Hivi wanawake mna nini nyie!

Kwa heshima na taadhima naomba nikutakie ASSALAAAM ALEIKUM popote ulipo fturu chochote nitalipa hata kama hujafunga
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wewe mwenyewe unajua situmii kinywaji chochote zaidi ya papuchi mkuu
 
Unazingua? Nmekwambia fturu chochote sio kunywaaa wala papuchi...
 
hawa watu aisee ni shida!mie nilikuwa na mwanamke kwa kipindi fulani sikuwasiliana nae zaidi ya miezi 6,siku moja nikaamua nimpe hi tu aisee nilijuta
mimi:mambo vp
yeye😛oa nna shida na 20000 aisee
NILIKATA MAWASILIANO FASTA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom