EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,675
- 2,116
Binti unamtongoza mwisho wa siku anakwambia ana mtu na hapendelei sana mambo hayo mtu unaamua kuheshimu mawazo yake na unajikalia kando hata sms ulizokuwa unamtumia unaacha.
Hazipiti siku mbili unashangaa mtu anaanza ooh mbona kimya sana tatizo nini! Unamwambia hakuna shida ooh au ulichukia kukwambia nina mtu unajibu hapana oooh basi takufikiria aisee hivi mtu kama huyu mtalaumu?
- Kuna wengine ukichukua namba mkaanza chat kwenye kuelekea kutongoza hazipiti wiki mbili oooh samahani naomba uniazime 20,000 takurudishia.
Hivi nyie mnadhani sisi tunaokota hela eeeh! Acheni ujinga bhana aaah
Hazipiti siku mbili unashangaa mtu anaanza ooh mbona kimya sana tatizo nini! Unamwambia hakuna shida ooh au ulichukia kukwambia nina mtu unajibu hapana oooh basi takufikiria aisee hivi mtu kama huyu mtalaumu?
- Kuna wengine ukichukua namba mkaanza chat kwenye kuelekea kutongoza hazipiti wiki mbili oooh samahani naomba uniazime 20,000 takurudishia.
Hivi nyie mnadhani sisi tunaokota hela eeeh! Acheni ujinga bhana aaah