Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,828
Natarajia kumpa mwakaniUlimpa au
Natarajia kumpa mwakaniUlimpa au
nyie kizazi gani hampendi kuhonga? mbona waoga hivyo? kuhonga ni mazoezi ya kutunza familia sasa kama huwezi kuhonga itakuwaje utakapo ambiwa baba koti lake limeisha anasikia baridi hivyo naomba hela nimpelekee koti jingine lakini wewe mama yako anaumwa hivyo usahihi hapo usitishe kupeleka gharama za matibabu kwa mzazi wako upeleke koti kwa mkweo halafu kwa hili eti watu watadai umekaliwa kumbe mapenzi tyuuuuuuuuu!Halafu hiki kitambia msichana mnabadilishana namba Siku mbili mbele anaomba umuazome hela inaudhi, kibaya zaidi wadada wanaongoza kwa kutorudisha hela wakiazima! Unasikia my naaomba niazime elfu 30 wiki ijayo nakurudishia, then anaongezea ujue nimekumis my! Shenzi kabisa mm siku hizi nawatolea mbavuni tu!
HahahahaKiukweli hakuna kitu kinakera kama kuombwa hela,,uwe nazo au usiwe Nazo ,iwe mwanamke au mwanaume,, kama si ndugu inakera sana,
Mfyuuuuuuuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji13][emoji13][emoji13] nilijua anazungumzia marafiki, kumbe alikuwa anamaanisha ampendaye
Mfyuuuuuuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu msemo ifike mahali utuachie sisi wa kinondoni.Mfyuuuuuuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uonevuuuuu.Na wewe umeona eeh? Hazimfai hata kidogo aisee
Wewe chukua zoteeeeYaah, atuachie kamsemo ketu ka kuwachomolea hela.[emoji23][emoji23][emoji23]
Yeeh jitahidi hata kama ni michepuko iwe smart.Umeona eeee pal???!!!
Mbona hajakosea kitu? Wewe ndiyo umemwambia umpendaye ndiyo anatumia hako kamsemo ka "my".Thubutu yake, angalia sana huyu Khantwe asije akaniharibia. Asikutie maneno maneno huyo
List gani tena? Ya wanaoniita my?Wewe pia umo kwani?? Hiyo list yako ni balaa, ntawataja hapaaaaaa
Point ushapoteza, unakuwaje na mwanamke anatumia maneno ya kienyeji hivyo?
Namba ya simu ni ileile zitume kule.Wewe chukua zoteeee
Aisee kumbe
Jamani hebu nisaidieMbona hajakosea kitu? Wewe ndiyo umemwambia umpendaye ndiyo anatumia hako kamsemo ka "my".
Na hapo sasa ndio wanaharibu kabisaaaaaa"My tuma na ya kutolea"[emoji23][emoji23][emoji23].
Wewe huwa unatumia neno my?
Akishatinginya mambo anatafuta mtu wa kumsingizia lawama. That's him!!Jamani hebu nisaidie
Au umuite la mahabaHalijakaa vizuri kabisa. Limekaa kimtaani taani.
Bora umwite mtu jina lake.