Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,418
Umeona eeee pal???!!!Je akiita kwa kiswahili "wangu"?
Ila limekaa kihuni huni bado.
Umeona eeee pal???!!!Je akiita kwa kiswahili "wangu"?
Ila limekaa kihuni huni bado.
Bag la mafomu ya mkopo na nimeshindwa, eti sina vigezo hata id ya taifa sinaDaah binamu acha uongo wakati juzi nimekuona unatoka benki na kibegi
Thubutu yake, angalia sana huyu Khantwe asije akaniharibia. Asikutie maneno maneno huyoNa wote umepata Neema ya kuwajua.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari sana!!!Kwamba unaweza kuwa ushaibiwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe pia umo kwani?? Hiyo list yako ni balaa, ntawataja hapaaaaaaI insist..atuachie sisi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukichoka nakupumzisha kidogo
Wanatuibia tu hahahahahahaahHakuna ninachochukia kwa Ke kama kuitwa "Baby" Baby gn ana sauti besi na midevu kama Boko Haram?
Ooohhh hapo sawa! Mimi napenda zaidi ya hayoNo silichukii ila ni mpenzi wa maandishi haya love,dear,Sweet.
Njoo uchukue yanguBag la mafomu ya mkopo na nimeshindwa, eti sina vigezo hata id ya taifa sina
watoto mna tabu kweli kweli, kuna mwanaume anakaa sikuhizi na kusema nimekupenda kweli, sikuhizi unamtoa out then kinachofuata ni kugegeda, sikumbuki ni lini nilianza kusema ohh nakupenda ohhh sijui nakuona kwenye glasi, tumia hela mkuuBinti unamtongoza mwisho wa siku anakwambia ana mtu na hapendelei sana mambo hayo mtu unaamua kuheshimu mawazo yake na unajikalia kando hata sms ulizokuwa unamtumia unaacha.
Hazipiti siku mbili unashangaa mtu anaanza ooh mbona kimya sana tatizo nini! Unamwambia hakuna shida ooh au ulichukia kukwambia nina mtu unajibu hapana oooh basi takufikiria aisee hivi mtu kama huyu mtalaumu?
- Kuna wengine ukichukua namba mkaanza chat kwenye kuelekea kutongoza hazipiti wiki mbili oooh samahani naomba uniazime 20,000 takurudishia.
Hivi nyie mnadhani sisi tunaokota hela eeeh! Acheni ujinga bhana aaah
Njoo uchukue yangu
Fanya hivyo binamu, nakusubiria
Wanatuibia tu hahahahahahaah
😂😂😂😂😂😂😂😂😂,mnatunyanyasaWanazingua mbaya, mm dem hata awe mkali kiasi gani au niwe namuona kiwango akishaanza my nikuombe kitu? Fasta namjibu hapana usiniombe!
Hahahaha, huwa unanifurahishaga sanaHivi bado kuna watu wanatongozana?!![emoji15][emoji15][emoji15]