Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,418
Yaani chagua jina lolote lile sio hilo😡😡😡😡Aisee
Yaani chagua jina lolote lile sio hilo😡😡😡😡Aisee
Wewe hujawahi kuniambia hivyo....Mimi ndio nasemaga hivyo? [emoji87][emoji87]
Lina tatizo gani?Yaani chagua jina lolote lile sio hilo😡😡😡😡
Ngoja niwahi [emoji125][emoji125][emoji125]Karibu uje naftarisha....
Tatizo wewe unao wengi ukisema yulee unanichanganya tu [emoji23][emoji23]Wewe hujawahi kuniambia hivyo....
Yuleeeeeee yule
Naona kama unataka uniibie ukiniita hivyo😀😀😀Lina tatizo gani?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Alaah kumbe unawatongoza mabinti, sasa unadhani mabinti akili zao zipo sawa? Wewe huoni hata humu kuna mabinti ukisoma post zao unajua kabisa huyu ubongo wake umeamia matakoni.
Hata mimi sipendi aisee yaani mtu akiniita my anakula buloku. (Joke)Yaani chagua jina lolote lile sio hilo[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
😡😡😡😡😡😡😡Tatizo wewe unao wengi ukisema yulee unanichanganya tu [emoji23][emoji23]
Punguza presha hakuna kitu kama hichoNaona kama unataka uniibie ukiniita hivyo😀😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata mimi sipendi aisee yaani mtu akiniita my anakula buloku. (Joke)
Kumbeee???Punguza presha hakuna kitu kama hicho
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata mimi nkikuita??
So my kwako ni mfano wa kuombwa pesaKumbeee???
Me huwa ukiniita hivyo kwanza najisachi
🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️😭😭😭😭Usithubutu
Eti???😀😀😀😀😀😀😀So my kwako ni mfano wa kuombwa pesa
Wanakera balaaa hususan ukiwa hauko interestedWanakera sana hao wanao anza tu kuchat unasikia wanakuita my
HahahahaEti???😀😀😀😀😀😀😀
Yule unayempenda nae huwa anatuma meseji za 'my nikwambie kitu'? Mwambie hazimfai bwana, hizo atuachie sie kina Mwajei[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Alooo tusichomeane picha basi.....
Hivi hujui nampenda nani??