watoto mna tabu kweli kweli, kuna mwanaume anakaa sikuhizi na kusema nimekupenda kweli, sikuhizi unamtoa out then kinachofuata ni kugegeda, sikumbuki ni lini nilianza kusema ohh nakupenda ohhh sijui nakuona kwenye glasi, tumia hela mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbee, nilikuwa najiuliza sasa mimi hapo nimekosa nini?Akishatinginya mambo anatafuta mtu wa kumsingizia lawama. That's him!!
Mzoee tuu[emoji23][emoji23][emoji23]amekuona wewe ni mnyonge wake.
La mahaba ndiyo kama lipi?Au umuite la mahaba
Tatizo umezidi upole[emoji23][emoji23]unalazimishiwa makosa.[emoji23][emoji23][emoji23] kumbee, nilikuwa najiuliza sasa mimi hapo nimekosa nini?
nijue niniKwako si hela tunatofatiana hata vidole havilingani sjui kama unajua
Unataka unitilie mchanga kitumbua changi ebooooDaah umenigeuka kama hunijui[emoji23]
Vipi wewe?? Maana umo kwenye list yanguUwapendao hawajambo
Khaaa!!!! Ni wewe unaniambia hivi?? Yesu na mariaYeeh jitahidi hata kama ni michepuko iwe smart.
Samahani kwa hilo, nadhani ni bahati mbaya sikukusudiaUnataka unitilie mchanga kitumbua changi eboooo
Nooo!!! Sijawahi mwambia hivyo mimiMbona hajakosea kitu? Wewe ndiyo umemwambia umpendaye ndiyo anatumia hako kamsemo ka "my".
Hao hao! 😀😀😀😀List gani tena? Ya wanaoniita my?
Usitake kunitoa roho mimi!!!Point ushapoteza, unakuwaje na mwanamke anatumia maneno ya kienyeji hivyo?
Umenidhalilisha.
Unbelievable!!!
Done!!!Namba ya simu ni ileile zitume kule.
Unajua amount ya kuanzia lakini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Imereject, au ntumie ile inayoanzia +1??Namba ya simu ni ileile zitume kule.
Unajua amount ya kuanzia lakini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mimi nimekwambia hivyo?? Ona sasa simu zangu hazipokelewi?? Utambembeleza wewe sasa huyu mpaka akae sawaJamani hebu nisaidie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙈🙈🙈Akishatinginya mambo anatafuta mtu wa kumsingizia lawama. That's him!!
Mzoee tuu[emoji23][emoji23][emoji23]amekuona wewe ni mnyonge wake.
Huoni sio??[emoji23][emoji23][emoji23] kumbee, nilikuwa najiuliza sasa mimi hapo nimekosa nini?
Mi amorLa mahaba ndiyo kama lipi?