Extra focus
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 613
- 1,154
Mkuu acha kulalamika sana mwambie aje kuchukua ghetto/lodge.We mtu hatujafahamiana vyema
Siku moja tu ndani ya masaa 5 unaomba Hela, buku tano ?
Sio kwamba hatuna pesa, ila hizi tabia dadeq , tunawaona matapeli nyinyi.
Basi angalau vuta time kidogo wengine tuna goals juu yenu ila mnakuwa wehu
Ni umasikini au?
View attachment 3457889
ni biashara mkuu na inabidi ununue.