Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,439
- 3,276
- Thread starter
- #81
Atajua yeye mimi nimepeleka proposal tu.Hakupendi dea
Hela zinatoka wapi
Atajua yeye mimi nimepeleka proposal tu.Hakupendi dea
Ahahahahah...Chambo huliwa ili samaki aliwe..
Sisi ni wawindaji
Mimi mwanamke asieomba pesa ananipa tabu kisenge yaani..
Lakini yule anaeniomba mara vocha sijui elfu tano na kumi
Huyo ni uhakika kuwa nakula..
Duh kweli mkuu hapa ni mbio tu.Kama ulikuwa una nia ya kuoa kimbia mbio
😂😂😂😂Ahahahahah...
Yeah sure. Ukiona mwanamke ni omba omba huyo jua kabisaa ni shida. Kuliwa huyo ni suala la muda tu.
Ila ma manzi wanaojiendesha with dignity, sio watu wa kuomba omba. Sasa mtu hajakuomba chaoo unaanzaje kumparamia kirahisi 😂.
Lazima akupe shida tu.
Ila hawa viberenge wengine shida mbele mbele kama pua ya Kasongo, faastaa unachinja. Wengi ni malaya in disguise
Hela ipoHali ya uchumi ni mbaya sana, mwanamke anaomba 5000 means ana dhiki, mwanaume analalamikia 5000 means ana dhiki, umasikini ni mbaya
Akikuomba 20k wewe mwambie hiyo sina nimebakiza 5k kwenye simu.Ahahahahah...
Yeah sure. Ukiona mwanamke ni omba omba huyo jua kabisaa ni shida. Kuliwa huyo ni suala la muda tu.
Ila ma manzi wanaojiendesha with dignity, sio watu wa kuomba omba. Sasa mtu hajakuomba chaoo unaanzaje kumparamia kirahisi 😂.
Lazima akupe shida tu.
Ila hawa viberenge wengine shida mbele mbele kama pua ya Kasongo, faastaa unachinja. Wengi ni malaya in disguise
Ahahahahahah.
Mkuu mwambie aje achukue ulilombona simpo tu, atakimbia tu unless Yuko tayari kuliwa mapema
Huu mzinga balaa😄😄View attachment 3458085
Dakika mbili mbele,,kizinga kikubwa
Ni noma sana mkuu,,hawa watu watatuua,,na hapa hata bado sijamtongoza nimechukua namba tuu😂😂😂Huu mzinga balaa😄😄
Wallah vile😍Wee em sema kwelii?!. 😂😂😂
Wako ki maslayNi noma sana mkuu,,hawa watu watatuua,,na hapa hata bado sijamtongoza nimechukua namba tuu😂😂😂
Mkuu kwahyo nachorwa tu sioAhahahahahah.
Ni noma sanaWako ki maslay