Hivi, wanaume wa humu mkoje?

Hivi, wanaume wa humu mkoje?

Kwani kati ya "nyuki" na "ua" ni kipi kinamvuta mwenzake?

Jibu ni kwamba ua ndilo linavuta nyuki kwa ushawishi wa harufu.

Kwa hiyo wanawake ndiyo mnaotuvuta sisi wanaume, mfano, jina lako la mvuto yaani waifu material tena umeliandika kwa Kiswanglish "waifu".

Sasa kwa staili hii utaachwaje kutongozwa waifu material ?

Angalia majina kama Miss Natafuta , Evelyn Salt n.k
 
Kwani kati ya "nyuki" na "ua" ni kipi kinamvuta mwenzake?

Jibu ni kwamba ua ndilo linavuta nyuki kwa ushawishi wa harufu.

Kwa hiyo wanawake ndiyo mnaotuvuta sisi wanaume, mfano, jina lako la mvuto yaani waifu material tena umeliandika kwa Kiswanglish "waifu".

Sasa kwa staili hii utaachwaje kutongozwa waifu material ?

Angalia majina kama Miss Natafuta , Evelyn Salt n.k
Kama ni hivyo itabidi nibadilishe hii ID
 
Hawa jamaa bana unamtongoza humu mwanamke usiemjua,mkikubaliane mkutane unakuta mwanamke ana sura kama fisi unamkimbia
Nikajua ni mimi pekee tu ndio ninayeshangazwa na hili...

Yaan kabisa mtu anakomaa anatongoza ID bila hata kuwa na uhakika 100% kuwa anayewasiliana naye ni mwanamke? Inashangaza na inasikitisha jinsi vile wanaume wenzetu baadhi wa humu walivyo desperate.

Lakini pia inawezana hakuna kitu kama hicho, bali hii mada muhusika kaileta kwa kutafuta attention tu au kujipa self-validation kwamba na yeye ana soko.
 
Nikajua ni mimi pekee tu ndio ninayeshangazwa na hili...

Yaan kabisa mtu anakomaa anatongoza ID bila hata kuwa na uhakika 100% kuwa anayewasiliana naye ni mwanamke? Inashangaza na inasikitisha jinsi vile wanaume wenzetu baadhi wa humu walivyo desperate.

Lakini pia inawezana hakuna kitu kama hicho, bali hii mada muhusika kaileta kwa kutafuta attention tu au kujipa self-validation kwamba na yeye ana soko.
Kama unaweza kukwea mnazi kwa hisia tu kuwa upo na manzi utashindwa kutongoza I'd

All in all vidume wenye I'd za kike au wanaojifanya wanawake wana moyo yani dume ujifanye jike shubaastedi
 
Huu mwezi wa August naona umeongoza kwa mambo ya inbox kuja public.
Hii inashiria jinsi gen Z haina kifua cha kutunza siri.

We unahisi ukisema ndio hawatakuja?
Ungefunga PM bila kelele ungepungukiwa nini?
 
Back
Top Bottom