lestone
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 430
- 754
"You have no recent conversations"Uliishia hewani
Na PM ukafunga ila wewUliishia hewani
"You have no recent conversations"Uliishia hewani
Na PM ukafunga ila wewUliishia hewani
Hongera yako wenzio wanakisia tu, mwisho wa siku waje wakimbiane stendi 😄😄ni baadhi ya wanaume sio wote dada.
Mim pia sipo hvo sitongozag gizani/usiku hadi nione sura na nyashi kama ipo fresh
Nimeshapoa mkuuPole sana kwa usumbufu.
Mazoezi ya mtandaoni yana tija kuliko...Wakafanyie mtaani kwao
Hamna loloteMazoezi ya mtandaoni yana tija kuliko...
Amini mkuu,Hamna lolote
wazee wa kubeti, ila wapo wanao otea mapini makaliHongera yako wenzio wanakisia tu, mwisho wa siku waje wakimbiane stendi
Ni kweli, lakini ila siyo jambo jema sana unaweza kukutana hata na watekajiwazee wa kubeti, ila wapo wanao otea mapini makali
Nisamehe sanaDah! 🤣🤣🤣 mkuu
Sasa hiyo mbona umeleta fursaNRNE
Samahanini kama ntakuwa nawakwaza kwa kuliongea hili wakuu, binafsi nimesikitishwa sana na hii tabia ambayo baadhi ya wanaume wanayo humu.
Ukija kuomba ushauri kuhusu mahusiano humu kuna baadhi ya members wakiume watajifanya wanaguswa na unayoyapitia na watakuonea huruma na kukufata PM, na kuanza kukuaproach.
Hii tabia sijaipenda kwasababu mimi nakuwa nimekuja kuomba ushauri nisolve tatizo langu na siyo kuja kutaka mpenzi mpya, na kuna baadhi ya members siyo wastaarabu anakukutumia na meseji huko PM akiona hujibu anakutukana kabisa, guys badilikeni hakuna mwanamke atayempenda mwanaume asiye mstaarabu.
Najua wanaume wastaarabu wapo wengi tu humu,... ila hawa baadhi wanawaharibia sifa haswa haswa hawa wanaoenda kukutana na members wa kike na wanakuja kujigamba huku jukwaani, binafsi siwezi kuwa na mtu humu kwanza hamko serious it seems kila mwanamke mnamfata huko PM.
Muwe na mchana mwema😍
Tafuta kazi mkuuNRNE
Samahanini kama ntakuwa nawakwaza kwa kuliongea hili wakuu, binafsi nimesikitishwa sana na hii tabia ambayo baadhi ya wanaume wanayo humu.
Ukija kuomba ushauri kuhusu mahusiano humu kuna baadhi ya members wakiume watajifanya wanaguswa na unayoyapitia na watakuonea huruma na kukufata PM, na kuanza kukuaproach.
Hii tabia sijaipenda kwasababu mimi nakuwa nimekuja kuomba ushauri nisolve tatizo langu na siyo kuja kutaka mpenzi mpya, na kuna baadhi ya members siyo wastaarabu anakukutumia na meseji huko PM akiona hujibu anakutukana kabisa, guys badilikeni hakuna mwanamke atayempenda mwanaume asiye mstaarabu.
Najua wanaume wastaarabu wapo wengi tu humu,... ila hawa baadhi wanawaharibia sifa haswa haswa hawa wanaoenda kukutana na members wa kike na wanakuja kujigamba huku jukwaani, binafsi siwezi kuwa na mtu humu kwanza hamko serious it seems kila mwanamke mnamfata huko PM.
Muwe na mchana mwema😍
Naomba kazi bossTafuta kazi mkuu
Ushasamehewa mr Yavuz, YakuzNisamehe sana
😂😂😂😂😂😂Ushasamehewa mr Yavuz, Yakuz
Hongera umejipata😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtu nayefanya kazi bila kuvuja jasho hapa jf 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌