Hivi, wanaume wa humu mkoje?

Hivi, wanaume wa humu mkoje?

Nikaribishe mimi huko PM nije nikupe mbinu mpya,
Ili hilo tatizo lako lisijirudie tena,
Nakuahidi hutajutia.
 
Wanaokuja huko PM wala usiwatukane, wapokee vizuri kwa bashasha; kisha mwambie hivi, ''bebiii naomba uninunulie kiwanja cha kujenga nyumba yangu pale Arusha chenye ukubwa wa mita za mraba 2000''

Ukumbuke kutuletea mrejesho.​
 
NRNE

Samahanini kama ntakuwa nawakwaza kwa kuliongea hili wakuu, binafsi nimesikitishwa sana na hii tabia ambayo baadhi ya wanaume wanayo humu.

Ukija kuomba ushauri kuhusu mahusiano humu kuna baadhi ya members wakiume watajifanya wanaguswa na unayoyapitia na watakuonea huruma na kukufata PM, na kuanza kukuaproach.

Hii tabia sijaipenda kwasababu mimi nakuwa nimekuja kuomba ushauri nisolve tatizo langu na siyo kuja kutaka mpenzi mpya, na kuna baadhi ya members siyo wastaarabu anakukutumia na meseji huko PM akiona hujibu anakutukana kabisa, guys badilikeni hakuna mwanamke atayempenda mwanaume asiye mstaarabu.

Najua wanaume wastaarabu wapo wengi tu humu,... ila hawa baadhi wanawaharibia sifa haswa haswa hawa wanaoenda kukutana na members wa kike na wanakuja kujigamba huku jukwaani, binafsi siwezi kuwa na mtu humu kwanza hamko serious it seems kila mwanamke mnamfata huko PM.


Muwe na mchana mwema😍
Na sisi tukiamua mambo ya wanawake JF si kitanuka hapa? Itakuwa kama Bibi vs Ayatollah. Khamemei
 
Wanaokuja huko PM wala usiwatukane, wapokee vizuri kwa bashasha; kisha mwambie hivi, ''bebiii naomba uninunulie kiwanja cha kujenga nyumba yangu pale Arusha chenye ukubwa wa mita za mraba 2000''

Ukumbuke kutuletea mrejesho.​
Hapa duniani tunapita .Utajengaje nyumba barabarani?
 
Kuna baadhi ya members siyo wastaarabu anakukutumia na meseji huko PM akiona hujibu anakutukana kabisa, guys badilikeni hakuna mwanamke atayempenda mwanaume asiye mstaarabu.
Moja ya sababu ilinifanya nifunge PM, kuna watu wa hovyo sana na wako so entitled 🚮🚮🚮
Najua wanaume wastaarabu wapo wengi tu humu,...
WENGI???
Ila hawa baadhi wanawaharibia sifa haswa haswa hawa wanaoenda kukutana na members wa kike na wanakuja kujigamba huku jukwaani, binafsi siwezi kuwa na mtu humu kwanza hamko serious it seems kila mwanamke mnamfata huko PM.
Usikutane na mtu from JF, nafikiri ni kujitafutia matatizo tu.
Muwe na mchana mwema😍
💕💕
 
Back
Top Bottom