kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,099
- Thread starter
- #101
Muache hiyo tabia mbaya"Tunaopenda kula tunda kimasihara, hatimae tumefikiwa'
Alisikika baharia mmoja akisema vile
Muache hiyo tabia mbaya"Tunaopenda kula tunda kimasihara, hatimae tumefikiwa'
Alisikika baharia mmoja akisema vile
Wanaume wanakula kilichopo siyo kinachotafutwa. ukiona hivvyo wewe unapatikana kwa urahisiNRNE
Samahanini kama ntakuwa nawakwaza kwa kuliongea hili wakuu, binafsi nimesikitishwa sana na hii tabia ambayo baadhi ya wanaume wanayo humu.
Ukija kuomba ushauri kuhusu mahusiano humu kuna baadhi ya members wakiume watajifanya wanaguswa na unayoyapitia na watakuonea huruma na kukufata PM, na kuanza kukuaproach.
Hii tabia sijaipenda kwasababu mimi nakuwa nimekuja kuomba ushauri nisolve tatizo langu na siyo kuja kutaka mpenzi mpya, na kuna baadhi ya members siyo wastaarabu anakukutumia na meseji huko PM akiona hujibu anakutukana kabisa, guys badilikeni hakuna mwanamke atayempenda mwanaume asiye mstaarabu.
Najua wanaume wastaarabu wapo wengi tu humu,... ila hawa baadhi wanawaharibia sifa haswa haswa hawa wanaoenda kukutana na members wa kike na wanakuja kujigamba huku jukwaani, binafsi siwezi kuwa na mtu humu kwanza hamko serious it seems kila mwanamke mnamfata huko PM.
Muwe na mchana mwema😍
eh! Kuja kunipa tu pole au kuna lingineMimi ntakufata mpaka mtaani kwako
---Najua wanaume wastaarabu wapo wengi tu humu,... ila hawa baadhi wanawaharibia sifa haswa haswa hawa wanaoenda kukutana na members wa kike na wanakuja kujigamba huku jukwaani, binafsi siwezi kuwa na mtu humu kwanza hamko serious it seems kila mwanamke mnamfata huko PM.
Wakafanyie mtaani kwaoVijana wanataka kufanya mazoezi, wafanyie wapi sasa mkuu!
Asante mkuuNRNE maamuzi ni juu yako kukubal au kukataa.. usikasirike ndo asili ya mwanaume hio kupambana..
Oooh kumbe hayaWanaume wanakula kilichopo siyo kinachotafutwa. ukiona hivvyo wewe unapatikana kwa urahisi
utaliwa na ushauri hutapata
Asante ila wambie wenzako wasinifate piemu !Pole
Anzisha thread uwafokeeAsante ila wambie wenzako wasinifate piemu !
Sio uongoo eh sawaSweetyCandy kaongo😃 mkuu
Asante sana mkuuPole sana kwa yaliyokusibu ndugu mtoa mada
Uliishia hewaniAah, nishakumbuk Lakin nilisem mpka nikuoe. Au ndoa ulikataaa?
Sana mkuuJf inambanga za kiwaki now days
Ujumbe uwafikie kupitia hii thread najua watapita humu kimyakimya!Anzisha thread uwafokee
ni baadhi ya wanaume sio wote dada.Muache hiyo tabia mbaya