Mwanaume mstaarabuni mshamba kwa mwanamke anayejielewaNajua wanaume wastaarabu wapo wengi tu humu,...
Ujue me huwa siwaelew watu wanaopenda kulazimisha vitu ambayo havifai kulazimisha...ndio mana me sometime huwa nakuwa mgumu sana kubembeleza mtu. I am not going to loose my energy for some things that are next to impossible...anyways watakuwa watoto hao wanajifunza kutongoza. Ukiwa kuna balehe unataka kila mtu umtongoze, kila mwanamke awe wako yan nyege zinakuwa zinakuendesha vibaya. Ukikuwa unakuja kujua sio lazima kuwa na kila anaekatiza mbele yako wengine waache wapite waende, huwezi kulomba Tanzania nzima na vitongoji vyake, relationships nyingi zinapoteza hela na mudaaaNadhani itakuwa si jambo jema ila nimefunga PM na kuwa ignore waliyonitukana
Usinipangiekama wanakufata pm kwanini hukumalizana nao hukohuko?
Shukrani mkuuPole Waifu material
Una maanisha nini mkuu?kicheche@work
🤣🤣🤣Timiza ahadi bwashee🙄🙄 SweetyCandy nilikuahidi gari???Gari???? Ya magurudum manne mimi??
AsanteKwan mtu akikutext PM Kuna ulazima wa kujibu? Hata kusoma hizo text sio lazma hazipunguzi chochote labda uwe na shauku ya kuchat nao ila kama huna sidhan kama utapata muda wa kuzifungua na kuchat nao
Simple tu usisome text au kujibu text unayoona Haina manufaa kwako
My favorite enemy ko pm zangu 30, sio kitu😂😂Hao wanaume wa hivo wanaitwa “wadaka chozi”.
Wakubalie bhana hawafuati kila mwanamke ushahidi ninao maana kwangu hawajaja.
Sitaki matatizoHao wanaume wa hivo wanaitwa “wadaka chozi”.
Wakubalie bhana hawafuati kila mwanamke ushahidi ninao maana kwangu hawajaja.
PoleKama mimi kuna wanawake wananifata kunipa pole, sipendi hii tabia!
Halitakuwa jambo jema, naimani wanajijuaWaanike hapa tuwaone.
Dah! 🤣🤣🤣 mkuuDuuuh yaan unanisema bila aibu we mdada.
Oky all in all sio mimi naekutongoza ila ni Moyo baada ya kushindwa kuzuia hisia zake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🫵🫵🫵🫵
Yah! Nimefunga sitaki usumbufuMamb ni mengi ya kuongea, ni vile umefunga PM yako
SweetyCandy kaongo😃 mkuu🤣🤣🤣Timiza ahadi bwashee
😂😂😂😂Mimi ntakufata mpaka mtaani kwakoKama mimi kuna wanawake wananifata kunipa pole, sipendi hii tabia!
sawa, ukifungua uni tag basi! TajirYah! Nimefunga sitaki usumbufu
Naacha hivyo watakaoelewa wataelewaAnza na marekebisho ya title yako, isomeke "baadhi ya wanaume WA humu JF..."
Ukiiacha ilivyo then ukajitetea ndani ndani huko bado haikai vizuri!
Vijana wanataka kufanya mazoezi, wafanyie wapi sasa mkuu!Funga Pm.