Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 2,050
- 4,602
Ujumbe Umefika Mkuu
Hao wanaume wa hivo wanaitwa “wadaka chozi”.binafsi siwezi kuwa na mtu humu kwanza hamko serious it seems kila mwanamke mnamfata huko PM.
Muwe na mchana mwema😍
Uko PM uje kufanya nini?Asante, ila wew ndio utafanya iwe mara yangu ya kwanza kuku PM
Pole inatosha kwanini watake niwe nao kimapenzi! mimi sitaki mishangazi itaniharibia uvulana wangu.Sasa mnataka nini
MmmhPole inatosha kwanini watake niwe nao kimapenzi! mimi sitaki mishangazi itaniharibia uvulana wangu.
Mamb ni mengi ya kuongea, ni vile umefunga PM yakoUko PM uje kufanya nini?
mmh bora wewe tunalingana 🙂Mmmh
Umenifuata mimi ukaniahidi gariSawa, ila kibinafsi sijawah mfwata PM member yoyote humu JF madam
Ili iweje mama😎Funga Pm.
🙄🙄 SweetyCandy nilikuahidi gari???Gari???? Ya magurudum manne mimi??Umenifuata mimi ukaniahidi gari
Asipate usumbufu 😂😂Ili iweje mama😎
😂😂😂😂🙄🙄 SweetyCandy nilikuahidi gari???Gari???? Ya magurudum manne mimi??
Na mwambie akiwa anatak ushauri asisite kunitafutawaifu material materialistic sasa humu wanaume wanapenda mwanamke akilia lia usilie lie ukiwa na shida waambie unao waona hawa wameshaharibiwa kiakili kimwili na kihisia wao wanajua unayataka
Pole mwayammh bora wewe tunalingana 🙂
Na ahadi yangu ya gari sasa mkuuNa mwambie akiwa anatak ushauri asisite kunitafuta