Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,063
Haha, nimeoa mkuu
unachepuka?
Haha, nimeoa mkuu
unachepuka?
Umeleta uzi huu ili tukutambue kuwa umezaliwa nje ya ndoa? si umuulize baba/Mama yako kwanini hakuoa/kuolewa au kwa nini ameacha/ameachika? au muulize baba yako yeye anafaid nini kwenye ndoa yake? uongoz wa JF tuanzishen jukwa la walevi tafadhari!
jaxonwaziri...umemjibu mawe mwenyewe kauliza pamba!
Naomba mnijibu coz mimi kama mimi sijaona sababu mzuri ya kuoa and may be im wrong!
Na miongoni mwa sababu zinazonitia hofu ni kwamba ndoa ni last stage of love! Kwa lugha nyengine ndoa ni kaburi la mapenzi! Ktk ndoa hakuna mapenzi bali ni uvumilivu na mazoea tu!
jaxonwaziri...umemjibu mawe mwenyewe kauliza pamba!
huwez pata sababu hapa coz kila mtu anaingia ndoani kwa sababu yake cjui yako itakua vp,
Kuna wanaotaka umiliki wa kudumu
Kuna wanaotaka urithi wa pesa
Kuna waliochoshwa na kuulizwa umri unaenda
kuna wanaotaka watoto
Kuna wanaotoka kufuliwa na kupika
kuna wanaopunguza ukali wa maisha.
Sasa hapo kila mmoja ana lake linalomkosha humo mjengoni
Kulala pamoja?
Kufuliwa nguo na viatu?
Kupigiwa pasi?
Kuogeshwa?
Kuitwa mme/mke wangu?
Kulea watoto pamoja?
Or what?
Naomba mnijibu coz mimi kama mimi sijaona sababu mzuri ya kuoa and may be im wrong!
Na miongoni mwa sababu zinazonitia hofu ni kwamba ndoa ni last stage of love! Kwa lugha nyengine ndoa ni kaburi la mapenzi! Ktk ndoa hakuna mapenzi bali ni uvumilivu na mazoea tu!
si useme tu bahati ya kuolewa huna watu wanapita na kuperuzi afu haooo wanasepa...Kulala pamoja?
Kufuliwa nguo na viatu?
Kupigiwa pasi?
Kuogeshwa?
Kuitwa mme/mke wangu?
Kulea watoto pamoja?
Or what?
Naomba mnijibu coz mimi kama mimi sijaona sababu mzuri ya kuoa and may be im wrong!
Na miongoni mwa sababu zinazonitia hofu ni kwamba ndoa ni last stage of love! Kwa lugha nyengine ndoa ni kaburi la mapenzi! Ktk ndoa hakuna mapenzi bali ni uvumilivu na mazoea tu!
Nazidi kuamini kwamba ndoa hamna kitu! Hivi ni siri gani isiyoelezeka karne ya 21 hii?
Amna lolote!
Haswaaa, especially kama ulioa mtu wa chaguo lako mwenyewe, sio chaguo la marafiki wala wazazi.Ndoa tamu dogo ni zaidi ya hayo uliyoandika hapo
Jaribu kuingia utajionea mwenyewe
Duh! Mentor ulivyopania kama umeoa vile! Lol!
Everything. Love, sex, companionship, starting a family together, falling in love over and over again. Its amazing.
Aya majibu yanafanana yote!
Na kama mtihani wangu mngejibu hivyo ningewapiga marongi nyote na mngefagia uwanja!
Jamani kuna lisiloelezeka kweli? Au ndio nawakumbusha machungu muyapatayo huko? Teh teh teh!
Kulala pamoja?
Kufuliwa nguo na viatu?
Kupigiwa pasi?
Kuogeshwa?
Kuitwa mme/mke wangu?
Kulea watoto pamoja?
Or what?
Naomba mnijibu coz mimi kama mimi sijaona sababu mzuri ya kuoa and may be im wrong!
Na miongoni mwa sababu zinazonitia hofu ni kwamba ndoa ni last stage of love! Kwa lugha nyengine ndoa ni kaburi la mapenzi! Ktk ndoa hakuna mapenzi bali ni uvumilivu na mazoea tu!