Hivi wanandoa ni nini hasa mnachofaidi huko?

Hivi wanandoa ni nini hasa mnachofaidi huko?

Mtoa mada;hivi unajua kwa nini single mothers wamezaa na waume za watu (walioko ktk ndoa)?Ukoipata jibu ndio jibu la mada yako
 
Kulala pamoja?
Kufuliwa nguo na viatu?
Kupigiwa pasi?
Kuogeshwa?
Kuitwa mme/mke wangu?
Kulea watoto pamoja?
Or what?

Naomba mnijibu coz mimi kama mimi sijaona sababu mzuri ya kuoa and may be im wrong!

Na miongoni mwa sababu zinazonitia hofu ni kwamba ndoa ni last stage of love! Kwa lugha nyengine ndoa ni kaburi la mapenzi! Ktk ndoa hakuna mapenzi bali ni uvumilivu na mazoea tu!

afu ukiwowa ukingonoka hulipii kama kule kule guest na yule changudoa kifupi gharama za kungonoka zinapungua kwa asilimia 90%
 
kwakweli, make ndo kwanza kabalehe wiki iliopita....

:evil: Umeanza tena ee? Mi nataka nikudoee afu we unaanza kuleta ugumu wa kazi. muone vile!

Kama kuna kitu mnafaidi huko si unisimulie ili nishawishike?
 
Mtoa mada;hivi unajua kwa nini single mothers wamezaa na waume za watu (walioko ktk ndoa)?Ukoipata jibu ndio jibu la mada yako

Sijui kwanini!

'He who asserts must proof'
Niambie kwanini.
 
:evil: Umeanza tena ee? Mi nataka nikudoee afu we unaanza kuleta ugumu wa kazi. muone vile!

Kama kuna kitu mnafaidi huko si unisimulie ili nishawishike?
hivi nikikiuambia roll pop ni tamu ndo unakuwa umeelewa utamu wake?
babuuu kanunue uile ndo utanielewa....
 
Hilo la kuchapiwa tena ni jingine na ni matatizo yaletwayo na mtu binafsi! Kitendo cha kuoa tu kinaonesha mtu kakomaa kifikra!

fikir upya kwa hlo, ina maan yeyte anaeoa tayr kakomaa kifkr? I 'm not sure if this z true! Labd confirm vzr
 
Ndoa ni nzuri sana kwani unapata msaidizi wa kushare naye la moyoni, unapata mfariji wa karibu, unakula tunda kwa furaha bila hofu wala hatia, unapata mtu wa kuzungumza nae faragha/usiku, unakuwa na mtu wa kufanya nae mambo yenu kifamiliya, mnazaa na kulea watoto pamoja, ndoa huondoa msongo wa mawazo, ndoa huleta heshima kifamilia na kijamii, ndoa huleta baraka kubwa, nifahari sana kitoka na mkeo unakwenda out, kwenye ibada,, kwenye harusi, kisalimia ndugu na jamaa au kwenda popote pale.
Ndoa ni tamu tena tamu sana, wakati ukifika utaona japo unaweza usifurahie kutokana na mtazamo hasi ulionao juu ya ndoa. Angalizo: pata mwezi unaefanana nae utafurahi vinginevyo utaumia, hayo ni machache tu.
 
Back
Top Bottom