Hivi wanandoa ni nini hasa mnachofaidi huko?

Hivi wanandoa ni nini hasa mnachofaidi huko?

Hapana!
Adhabu ya kaburi na ndoa hata havihusiani! Mtu aliekufa haiwezekani kuulizwa and/or kurudi na kuishi tena! Wakati wanandoa wanaweza kuulizwa na pia wanaweza kuachana wakawa mabachela!

Swali liko pale pale!
Ivi mnatunyima nini huko ndoani (ambacho sisi hatupati?)

Maana yangu hakuna anayeweza kukwambia hasa anachokipata ndani ya ndoa yake. Ni jambo la siri kwa sababu ndoa iko too personal. Unachoweza kujua ni mambo ya nje ya ndoa, na si ya ndani ambayo wewe unataka kuyajua. Hayo mambo SI unique kwa kila ndoa, yanatofautiana. Ndio maana huwezi kujua ya kaburini mpaka ufe, vivyo hivyo kwenye ndoa mpaka uoe. Ulishawahi kumsikia mzazi au hata kungwi/somo anamwambia mtoto /mwali wake anayofanya chumbani? Ni sababu kila mtu ana formula katika ndoa
 
Wewe mchuma umekujaa, kaa chini usali acha kujipa moyo na maswali hayo.
 
Ndoa ni muhimu kwa anayejitambua tu. Wengine hamfai kuambiwa chochota zaidi ya kuwa kumbusha kunyoa viduku. Kumbuka Mwanamke asiye na mume ni mke wa kila mwanaume.. Hata kinyume chake poa tu.
 
ujue tunakuzd nn?
kujamba kwa uhuru fani na mbwembwe zote!
shurti unalingurumisha tu!
enhenhenhnhenhenhe ukibakia hapo sentensi ilipoishia unaweza kuona kama nataka kukulipua kicheko!
Thiiiiiiiiiink
 
Umeleta uzi huu ili tukutambue kuwa umezaliwa nje ya ndoa? si umuulize baba/Mama yako kwanini hakuoa/kuolewa au kwa nini ameacha/ameachika? au muulize baba yako yeye anafaid nini kwenye ndoa yake? uongoz wa JF tuanzishen jukwa la walevi tafadhari!
 
Kama ilivyo kwenye mapenzi,hayafundishwi,hayana ladha moja(wapenzi na mapenzi yao hutofautiana kati ya penzi na penzi)

Vivyo hivyo utamu/uchungu wa ndoa waujua wanandoa wenyewe...na utamu/uchungu wa ndoa moja ni tofauti na ndoa nyingine.

Hata ukiwa-cross multiply wanandoa utapata utamu/uchungu/uzoefu mpya usioshabihiana na ndoa zao za mwanzo.

Usitake kujua utamu wa ndoa za watu wengine au kutumia uzoefu wa uchungu wa ndoa nyingine kufanya maamuzi yenye kuathiri maamuzi yako. Kuwa wewe,fanya yako...tengeneza historia yako.
 
Swali lako linakuwakilisha kama mtoto bado. Kua kwanza, usitamani kujua vitu vya wakubwa.
 
ujue tunakuzd nn?
kujamba kwa uhuru fani na mbwembwe zote!
shurti unalingurumisha tu!
enhenhenhnhenhenhe ukibakia hapo sentensi ilipoishia unaweza kuona kama nataka kukulipua kicheko!
Thiiiiiiiiiink

hahahaaaa..kwa hiyo ukiwa karibu na Mr ndo unapata uhuru wa ku.fart eeeh!! Teeeeh
 
Kulala pamoja?
Kufuliwa nguo na viatu?
Kupigiwa pasi?
Kuogeshwa?
Kuitwa mme/mke wangu?
Kulea watoto pamoja?
Or what?

Naomba mnijibu coz mimi kama mimi sijaona sababu mzuri ya kuoa and may be im wrong!

Na miongoni mwa sababu zinazonitia hofu ni kwamba ndoa ni last stage of love! Kwa lugha nyengine ndoa ni kaburi la mapenzi! Ktk ndoa hakuna mapenzi bali ni uvumilivu na mazoea tu!

Young man,there comes a time when a thought strikes you that,now you are young you have friends,colleagues and trusted ones but what will happen when you grow old? You might have noticed that those you grew up with are no longer with you, no longer friends as before, trust between you isn't what it used to be!
Fastforward to now, you need this person who you will love, trust and more importantly will be there when all others have gone their separate ways when you grow older - and that person is your wife!

That's why it is said, '..yeye apatae mke apata kitu chema..'

However, the real challenge is finding this ideal woman to call Wife! A woman who will agree to share your current state,love you,respect you,submit to you and contribute a positive energy to you now and in the future!

There aren't many such women around these days, you will discover as you search around many women aren't focussed into the future and don't believe in sweating to build a strong 'FAMILY' - one of the reasons why marriages are in turmoil these days!
 
hushangai pamoja na kusemwa kila siku na kujengewa mabaya ndoa, bado watu wanazidi kumiminika ndoani.
 
huwez pata sababu hapa coz kila mtu anaingia ndoani kwa sababu yake cjui yako itakua vp,
Kuna wanaotaka umiliki wa kudumu
Kuna wanaotaka urithi wa pesa
Kuna waliochoshwa na kuulizwa umri unaenda
kuna wanaotaka watoto
Kuna wanaotoka kufuliwa na kupika
kuna wanaopunguza ukali wa maisha.
Sasa hapo kila mmoja ana lake linalomkosha humo mjengoni
 
Huwezi ona umuhimu mpaka wakat wako ufike...na kama hutafika amini,utapoteza mwelekeo wa maisha...upweke utakuumiza sana bila wewe mwenyewe kujitambua. Nawaunga mkono waliosema utamu ndoa hutaujua mpaka uingie....
 
Back
Top Bottom