Hivi wanandoa ni nini hasa mnachofaidi huko?

Hivi wanandoa ni nini hasa mnachofaidi huko?

katika ndoa kama mkioana mkazidi kupendana mtackia raha sana., ila wengi wao ni sehemu ya kuzaliana na kuvumiliana tu bas sioni kama kuna kingine., yan makaka nyie acha tu., umeolewa mdada wa watu lkn ukiumwa hata huulizwi unaendeleaje., mume akitoka hata haagi anatoka tu., akitoka hapigi hata smu akipiga labda anaulizia kitu kama amekisahau hapo home., smtms unamuuliza swali lkn hujibiwi, hunakua biz na kaz mda wote mpk dunia unaiona chungu., michepuko ndo usiseme mpk rafiki zake wana namba ya hawara ila mke wa ndani hawana., inauma sana., inauma saaaaaanaaaa ackwambie mtu., ndoa tamu kama utapendwa lkn ucpopendwa ni chungu kama shubiri., mungu tusaidie viumbe wako jaman
 
kulala pamoja?
Kufuliwa nguo na viatu?
Kupigiwa pasi?
Kuogeshwa?
Kuitwa mme/mke wangu?
Kulea watoto pamoja?
Or what?

Naomba mnijibu coz mimi kama mimi sijaona sababu mzuri ya kuoa and may be im wrong!

Na miongoni mwa sababu zinazonitia hofu ni kwamba ndoa ni last stage of love! Kwa lugha nyengine ndoa ni kaburi la mapenzi! Ktk ndoa hakuna mapenzi bali ni uvumilivu na mazoea tu!


fornication is the only best thing in marriage.
 
Ndoa ni mpango wa mungu mana udhaifu wa mwanadamu ni pamoja na huu uzi wako.
 
As far as I am concerned, naona ndoa ni aina fulani ya mazoea ya maisha. Eti kwamba ukifika umri fulani basi ili udhihirishe uanaume/uanawake wako lazima upate mwenza wa kuishi naye kwenye kifungo cha maisha kijulikanacho kama ndoa. For me ndoa na jela hakuna tofauti zaidi ya mazingira tu, halafu kingine kinachonifanya nisifikirie kuoa ni ukweli kwamba nshapata karibu kila kitu wanandoa wanachopeana, now what? Hakuna jipya kwenye ndoa.
 
Kulala pamoja?
Kufuliwa nguo na viatu?
Kupigiwa pasi?
Kuogeshwa?
Kuitwa mme/mke wangu?
Kulea watoto pamoja?
Or what?

Naomba mnijibu coz mimi kama mimi sijaona sababu mzuri ya kuoa and may be im wrong!

Na miongoni mwa sababu zinazonitia hofu ni kwamba ndoa ni last stage of love! Kwa lugha nyengine ndoa ni kaburi la mapenzi! Ktk ndoa hakuna mapenzi bali ni uvumilivu na mazoea tu!
aisee ndoa tamu ndoa raha kaka
i dont regret
 
duh! Na mi sijawah kufkiria kuoa ila kwa majibu ya jaxonwaziri nitajaribu kulifikiria hilo kwa mara nyngne huko mbeleni
 
Last edited by a moderator:
wazazi wako wasingekuwa kwenye ndoa leo usingekuwa na jeuri ya kukaa kwenye keyboard na kuandika unayoandika hapa.ukitaka kujua ndoa ni nini basi ichukulie kama taasisi zilivyo nyingine na siyo ndoa kama tukio.

kwanza hawajui hata wazazi wake huyo....alitupwa mlangoni,,,so hakuona baba na mama waishivyo, na atabaki kuuliza tuu hata akiambiwa nini,,,,sababu keshajijua hajui na hataki kujua,,,,
 
kama tu umeoa au kuolewa mara baada ya crush ya muda mfupi ukiongozwa na tamaa za mwili ukidhani ni true love kumbe siyo.
Na sio kinyume cha hiyo makitu? Wa jango hapo bado sjakusouma! Mtu kadiri unavyokuwa karibu nae ndipo mnapoishi kwa mazoea, suala la mapenzi inakua hadithi tu ktk midomo yenu!
 
Kwa maisha yetu ya Afrika familia ndo kitu cha thamani kuliko Mali zingine ambazo ni tangible.
 
Unakuwa umekamilika,we hujawahi kuta mtu asipooa anaulizwa mbona huoi watu wanaogopa usije ukawa sio riziki!

Hahahahahahaaaa...! Umenichekesha sana stable woman!

Kuoa si urijali! Kuna wanaooa na kushindwa kuwashughulikia wake zao as a result wake zao wanaliwa nje!

Na utamuitaje mtu si riziki wakati ana maduu kibao na wote anawakwanjua? Teh teh teh! (ni mfano tu!)
 
Hahahahahahaaaa...! Umenichekesha sana stable woman!Kuoa si urijali! Kuna wanaooa na kushindwa kuwashughulikia wake zao as a result wake zao wanaliwa nje!Na utamuitaje mtu si riziki wakati ana maduu kibao na wote anawakwanjua? Teh teh teh! (ni mfano tu!)
Hilo la kuchapiwa tena ni jingine na ni matatizo yaletwayo na mtu binafsi! Kitendo cha kuoa tu kinaonesha mtu kakomaa kifikra!
 
Back
Top Bottom