ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,679
- 7,109
Hii mtu akiipata haiponi?Naskia pia kuna Gonorrhea ambayo ni MDR..kuwa makini tusilipoteze tajiri lenye ukwasi mkubwa magomeni mapipa yote

Hii mtu akiipata haiponi?Naskia pia kuna Gonorrhea ambayo ni MDR..kuwa makini tusilipoteze tajiri lenye ukwasi mkubwa magomeni mapipa yote

hahaaa!!mzee mimi ni wa magomeni makanya.mdr ndo nini?Naskia pia kuna Gonorrhea ambayo ni MDR..kuwa makini tusilipoteze tajiri lenye ukwasi mkubwa magomeni mapipa yote
Ndo ikoje hiyo mkuuNaskia pia kuna Gonorrhea ambayo ni MDR..kuwa makini tusilipoteze tajiri lenye ukwasi mkubwa magomeni mapipa yote
Unaweza kupona lakini kwa mbinde sana maana dawa nyingi zinadundaHii mtu akiipata haiponi?![]()
Multi drug resistance..yaani dawa nyingi za aina tofauti zinashindwa kuutibu ugonjwahahaaa!!mzee mimi ni wa magomeni makanya.mdr ndo nini?
Unasumbua kupona,yaani dawa nyingi za aina tofauti zinashindwa kuponyesha ugonjwaNdo ikoje hiyo mkuu
Mkuu tabia zakinyaturu hazina Sana tofauti na zawairaq.ingawa wairaq wamezd kwenye swala lakugawa,Baada yakutendwa vibaya nahawa wairaq niliamua kuwa baharia ili nipunguze machungu....nikatua Singida Apo kunatotoz kali Sana zakinyaturu nakinyiramba.kwanza wanyaturu mademu wao wengi kishumbuzi hakipo wameondoa sku nyngi,niwakalimu Sana adi uchumi wakat unapewa bla shida.wanajua kutunza familia shda yao nkuwa ukifksha umri mfali ulali namkeo ndani anakufukuza ukalale nnje afu kunakjana anakuwa anakuja kusaidia uchumi wakati,hawapendi zarau,nimoja Kati ya totozi zinazopenda kazi yakufungua vizibo,Shule moja niliopewa namshkaji wangu wakinyaturu nikuwa dada zao wanaipenda Sana Arusha kulko mkoa wowote watz,kwaiyo ukitaka kumuoa hakiksha unamuulza ulshafka Arusha?akjbu bado mpe nauli aende akilud ndio mfunge ndoa,vngnevyo ukimuoa atatoloka aende Arusha maisha yakmchapa analud kuomba msamaha.Wanapenda Sana ushirikina wamapenzi,siwasafi Sana,ila wanajua kupambana kutafuta pesa kulko wanaume wao.Masingle mother niwengi Sana pia.....wanajua michezo yauchumi wakat.Mwisho kuwa making nmoja yasehemu hatari Sana kwakale kaugonjwa.;chaziada.....de way uzionavyo tabia za Miss tz2006 ndio ivoivo natabia zandugu zake uku yani Yule anaupendo wadhati sema uko chini panvyomuwashaga,Ndio anaamuaga kumtunuku yoyote dhati yakeMkuu wanyaturu wana sifa gani
Waha namba1 wale wanawake Ni waaminifu sanaKabila gani utakula peke yako hapa Tanzania?
Hii nimeishuhudia hii, itabidi nioe wake wawiliWaha namba1 wale wanawake Ni waaminifu sana
umeshuhudia wapi?Hii nimeishuhudia hii, itabidi nioe wake wawili
umemuoa?Amejifungua mwezi wa saba, ila mpaka sasa hataki kunipa mzigowambulu bana
Tafadhali elezea kwa undani, wakulungwa tupate dodosoWaha namba1 wale wanawake Ni waaminifu sana
ushirika hapo 😂 bila shakaAh mkuu wengi wapee ..ila niliwah kushuhudia mshikaj wangu chuo pale moshi alijifanya kujijaza kwa hawa wa iraq mwanzon wana kuwa makin lkn jamaa demu aligongewa na CR yaan ilikuwa ni counter attack
Nao washaanza ushenz, Sio kama zamanWaha namba1 wale wanawake Ni waaminifu sana
😆😆😆 Extrovert mzee wa kicheko mwambie huyu mtoa UZI hawa saitaaa sio poa japo ni watamu nasikia.ushirika hapo 😂 bila shaka
Hahahaha hao usipo mtwanga ngumi anaona humpendi ila muangushie doziWakurya wako smart sana