Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.
Uzur na weupe wao ulikuchanganya sio? ?
Hakuna kabila la wamburu....kabila niwailaq,Wafyomi,barbaek n.k......Wanaitwa wamburu kwasababu yahistoria yamji walio fikia miaka iyo wakati waukoloni.walifikia mji unaitwa mburu mji ambao nmoja yamiji mikongwe Sana Afrika mashariki.ndio wakaanza kusambaa maeneo mbalimbali yamkoa wamanyara.;Muoaji simshauri ata robo kuoa hao wairaq(Wamburu) nihatari nakwenye maisha yake atakuja kujuta ila Kama anatakuo kwauzur wasura Apo sawa ila ajue kuchapiwa Ni lazma atakama awe fundi vp au awe namashne kubwa vp ajulmshie mkongo,na dawaT.hao uchoyo wa pampuchi kwao nidhambi...........Staki kuadsia klicho npata uko ila nmeacha familia uko.kwanza siajabu kukuta mtoto wakwanza niwako wapl sio wako watatu niwako.Moja ya iman yao kubwa yakuhalalsha umalaya nikuwa mwanamke hatakiw kuzaa sehemu moja maana anaweza zaa watoto wajnga wote.kwaiyo mtu anaweza kuwa kwenye ndoa lakn kabeba mimba yamwingne.....;kifupi ili kabla wanawezana wao kwa wao
 
Mkuu siku wasichana wa siku hizi pasua kichwa sana. Hakuna kabila limepona. Utauliza wachaga watakuja watu hapa watawachambua mpaka uvunguni. Utauliza vipi Wanyakyusa,watakupa mengi kuwahusu. Utauliza wangoni,wasukuma,wakurwa hakuna atakaekosa kasoro. Sasa nakuambia hivi akili ya kuambiwa changanya na yako. Wewe ndio umemuona huyo mkeo mtarajiwa heshima yake kwako,umemuona ukarimu,upole,umemuona uzuri. Mimi nakuambia oa uliomuona huyo huyo,hakika utaoa mwingine,pia utakuja kujuta hapa
 
Mkuu siku wasichana wa siku hizi pasua kichwa sana. Hakuna kabila limepona. Utauliza wachaga watakuja watu hapa watawachambua mpaka uvunguni. Utauliza vipi Wanyakyusa,watakupa mengi kuwahusu. Utauliza wangoni,wasukuma,wakurwa hakuna atakaekosa kasoro. Sasa nakuambia hivi akili ya kuambiwa changanya na yako. Wewe ndio umemuona huyo mkeo mtarajiwa heshima yake kwako,umemuona ukarimu,upole,umemuona uzuri. Mimi nakuambia oa uliomuona huyo huyo,hakika utaoa mwingine,pia utakuja kujuta hapa
Uko sahihi sana mkuu,hata akiweka kabila lake,pia wataleta kasoro zao......chamsingi ni kuheshimiana tu.....
 
Kama una mpango wa kufungua Bar au Grocery baadaye muoe halafu mfungulie asimamie.Wamejaliwa kuwa na kiu zote za mwili na kiy ya maji.wana hamu hao pekee yako bila kusaidiwa na wengine hutaweza kumtuliza ndani.Wakarimu sana na wanawezana wenyewe
 
Msiwadanganye vijana...nikiwa mdogo majirani waliowaowa hawa wameteseka sana...nikiwa chuo walimu waliowaowa hawa na kuwaamini wakaharibikiwa sana maisha wakaishia kuwa walokole...nimekuwa mkubwa nilijiingiza lakini nimenyoosha mkono.....tuongeage tu ukweli wakina mama wairaqw ni tatizo
 
Nimesoma kuanzia ukurasa wa kwanza mpaka hapa sijaacha comment hata moja lakini sijaona aliyewataja WAHA (Kigoma),

Kwa maelezo ya mjumbe mmoja itabidi nioe MNYATURU kwa sababu za kimaslahi zaidi (kutengeneza pesa)

Nimemaliza
 
Nimesoma kuanzia ukurasa wa kwanza mpaka hapa sijaacha comment hata moja lakini sijaona aliyewataja WAHA (Kigoma),

Kwa maelezo ya mjumbe mmoja itabidi nioe MNYATURU kwa sababu za kimaslahi zaidi (kutengeneza pesa)

Nimemaliza
Mkuu wanyaturu wana sifa gani
 
Kama una mpango wa kufungua Bar au Grocery baadaye muoe halafu mfungulie asimamie.Wamejaliwa kuwa na kiu zote za mwili na kiy ya maji.wana hamu hao pekee yako bila kusaidiwa na wengine hutaweza kumtuliza ndani.Wakarimu sana na wanawezana wenyewe
hahahahahahah umewakandika kinoma mkuu,ila huku wengi wao wanauza bar
 
Nimesoma kuanzia ukurasa wa kwanza mpaka hapa sijaacha comment hata moja lakini sijaona aliyewataja WAHA (Kigoma),

Kwa maelezo ya mjumbe mmoja itabidi nioe MNYATURU kwa sababu za kimaslahi zaidi (kutengeneza pesa)

Nimemaliza
Una mpango wa kuingia uchumi wa kati eti!
 
Nataka niwekeze kwa binti wa kiiraq kutoka Babati, binti ametokea kunipenda sana. Mwanzoni moyo wangu ulikuwa mzito kuchukua maamuzi ya kuwa na uhusiano naye ila kadri siku zinavyozidi kwenda naona kwamba atanifaa, coz she is real beautiful, umbo zuri na rangi nzuri pia halafu ananijali sana kimatendo.

Siku za hivi karibuni amenikazania niende kujitambulisha kwao. Nipeni ABC za mabinti wa kiiraq kabla sijafanya final decision.
Oa akuzalie watoto wazuri.... Mengine mtajuana mbere kwa mbere!
 
Hakuna kabila la wamburu....kabila niwailaq,Wafyomi,barbaek n.k......Wanaitwa wamburu kwasababu yahistoria yamji walio fikia miaka iyo wakati waukoloni.walifikia mji unaitwa mburu mji ambao nmoja yamiji mikongwe Sana Afrika mashariki.ndio wakaanza kusambaa maeneo mbalimbali yamkoa wamanyara.;Muoaji simshauri ata robo kuoa hao wairaq(Wamburu) nihatari nakwenye maisha yake atakuja kujuta ila Kama anatakuo kwauzur wasura Apo sawa ila ajue kuchapiwa Ni lazma atakama awe fundi vp au awe namashne kubwa vp ajulmshie mkongo,na dawaT.hao uchoyo wa pampuchi kwao nidhambi...........Staki kuadsia klicho npata uko ila nmeacha familia uko.kwanza siajabu kukuta mtoto wakwanza niwako wapl sio wako watatu niwako.Moja ya iman yao kubwa yakuhalalsha umalaya nikuwa mwanamke hatakiw kuzaa sehemu moja maana anaweza zaa watoto wajnga wote.kwaiyo mtu anaweza kuwa kwenye ndoa lakn kabeba mimba yamwingne.....;kifupi ili kabla wanawezana wao kwa wao
nini kilikukuta mzee?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom