Hivi vyoo huwa havihitaji milango

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
1634966781510.png
 
Halafu Hivyo Havinuki Kama Hivi Vya Kisasa
Hivyo Vinakupa Ujuzi Wa Kulenga Unatazama Mara Moja Unakuwa Upo Sawa Sawa
Kule Pwani mkisafisha samaki matumbo mnayatupa chooni, harufu haitoki kabisa.
 
Mmh!!! Ni umasikini na kukosa elimu, hIvyo vidude vinakwaruza sehemu nyeti, nakupata vidondo visipo pona ndo maana mimi na kubali wa islamu bora wakose maji ya kupikia lakini ya chooni ya tapatikana kwenye birika au kidumu, wako makini sanaa au watu.
 
Mmh!!! Ni umasikini na kukosa elimu, hIvyo vidude vinakwaruza sehemu nyeti, nakupata vidondo visipo pona ndo maana mimi na kubali wa islamu bora wakose maji ya kupikia lakini ya chooni ya tapatikana kwenye birika au kidumu, wako makini sanaa au watu.
Hii ya kunawa kwa maji kuna siku itakuwa world uniform format kama kunawa mikono.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom