Ukiingia Unachukua Moja Mpaka Yaishe
Hayo Magunzi Ndiyo Maji Sasa
Hayo Ndiyo MMaisha Ukifika Town Unatumia Tissue
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Halafu Hivyo Havinuki Kama Hivi Vya KisasaRecycling
Hii itakuwa ni Tukuyu
Hii ya kunawa kwa maji kuna siku itakuwa world uniform format kama kunawa mikono.Mmh!!! Ni umasikini na kukosa elimu, hIvyo vidude vinakwaruza sehemu nyeti, nakupata vidondo visipo pona ndo maana mimi na kubali wa islamu bora wakose maji ya kupikia lakini ya chooni ya tapatikana kwenye birika au kidumu, wako makini sanaa au watu.
Hilo sio jiko?
Upande gani wa taifa letu, wasaidie wajue kutumia nyenzo sahihi.Hapana ni choo na hayo matundu ni kwa ventilation
Acha uongo... Hilo ni jikoMvua ikiyanyeshea magunzi mbona shughuli.
Sasa Hivi Inaita Sanitizernaona hapo nje wamejaza lundo la vitakasa makasesera.