bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 594
- 1,351
Tanzania utakuta mtu kafungua biashara kawekeza pesa ya kumwaga kwenye mtaji wa mamilioni ila chooni utakuta panatisha, ni kuchafu vibaya. Utakuta mtu anaingiza mamilioni kwa siku ila huduma ya choo inawashinda, hivi shida huwa ni nini?
Mfanyabiashara pekee ambae nimeona yupo serious na choo chake ni mmiliki wa majengo ya Mlimani City, inshort wale wako serious na biashara yao. Yaani vyoo vya Mlimani City unaweza ukaingia na chakula ukala halafu ndio ukajisaidia! Majamaa wapo makini na usafi sijawahi ona.
Sijajua wafanya biashara wengine wanakwama wapi, hakuna kitu kinachonikeraga kama uchafu wa vyoo. Kwa sasa Uti sugu imekuwa ikisambaa kwa kasi sababu uchafu wa vyoo umezidi ndio maana hata vitoto vidogo vinaugua Uti uchafu wa vyoo ni too much
Mfanyabiashara pekee ambae nimeona yupo serious na choo chake ni mmiliki wa majengo ya Mlimani City, inshort wale wako serious na biashara yao. Yaani vyoo vya Mlimani City unaweza ukaingia na chakula ukala halafu ndio ukajisaidia! Majamaa wapo makini na usafi sijawahi ona.
Sijajua wafanya biashara wengine wanakwama wapi, hakuna kitu kinachonikeraga kama uchafu wa vyoo. Kwa sasa Uti sugu imekuwa ikisambaa kwa kasi sababu uchafu wa vyoo umezidi ndio maana hata vitoto vidogo vinaugua Uti uchafu wa vyoo ni too much