Salaam, Shalom!!
Nimewahi kuwa kiongozi wa wanafunzi katika shule Moja katika Moja ya mikoa ya nyanda za juu kaskazini,
Mbali na matumizi mabaya ya vyoo vya shule, Kuna jambo Moja ambalo Hadi Leo sijawahi kujua lilitokana na nini,
Yaani unaingia chooni, unakutana na gunzi la muhindi, unajiuliza, hivi aliyekuwa humo kabla, aliwezaje kuisaidia akiwa anakula muhindi Kisha akatupa gunzi ndani ya sink la choo Cha maji!!!
Mara ingine utakuta mawe katika sink la choo, na mawe haya husababisha vyoo kuziba,
Naomba kufahamishwa, ninyi ambao Huwa mnaingia vyoo vya public na kutumia mawe na magunzi ndani ya vyoo, KAZI ya vitu hivyo hatarishi Hasa Huwa ni nini?
Karibuni🙏
Nimewahi kuwa kiongozi wa wanafunzi katika shule Moja katika Moja ya mikoa ya nyanda za juu kaskazini,
Mbali na matumizi mabaya ya vyoo vya shule, Kuna jambo Moja ambalo Hadi Leo sijawahi kujua lilitokana na nini,
Yaani unaingia chooni, unakutana na gunzi la muhindi, unajiuliza, hivi aliyekuwa humo kabla, aliwezaje kuisaidia akiwa anakula muhindi Kisha akatupa gunzi ndani ya sink la choo Cha maji!!!
Mara ingine utakuta mawe katika sink la choo, na mawe haya husababisha vyoo kuziba,
Naomba kufahamishwa, ninyi ambao Huwa mnaingia vyoo vya public na kutumia mawe na magunzi ndani ya vyoo, KAZI ya vitu hivyo hatarishi Hasa Huwa ni nini?
Karibuni🙏