Hivi vitu vina maana gani?

Hivi vitu vina maana gani?

Tatizo ya mambo ya nyuma ni kama hadithi ila kiuharisia ni kweli mwanamke ni daraja sana

Ila sipendi niongee kitu maana bado sijapata ruhusa ya Mungu kwa ahadi ya mdomo wangu

Alafu sio lazima kukuta mwalimu kafaulu wote mnaweza feli VITA NI KUBWA
Sheitani imani yako ni ipi uko kwa Mungu au Lucifer
 
Mkuu mawardat nakushauri ,badala ya kuharibu na kuchoma Moto hivyo hiyo irizi, mngeipeleka kanisani. Maana mlianza na kanisa malizeni na kanisa.

Ukienda na Hilo li' hirizi watajua jinsi ya kumaliza tatizo moja kwa moja happy kanisani mlipoenda.
Hapo hapo kwanza ipigwe chumvi ya kutosha mpaka ifubae na kunywea kabisa kisha ndio safari ya kanisani ianze
 
mimi kumpeleka huko ni mtihani alikuja kunisabahi tukajikuta tunaangalia inuka uangaze, tena ilikua jioni ikabidi asiondoke had alipokaa sawa halaf hatukua tunajua n hayo maj tukawa tunaambiana mbona imekua hivo ni nini au unaumwa,
Fanya hivi agiza mtu siku akienda kwa Mwamposa akuletee hayo maji au mafuta umpelekee rafiki yako... Au apelekewe moja kwa moja nyumban kwake kama wewe huwez... Unaweza muagiza hata bodaboda muaminifu akaenda pale kanisani akachukua yale maji au mafuta akampelekea... Mwambie ile siku alivyo jisikia hali ile ndio ilikua uponyaji wake
 
Tiba Mungu imekaaje?
Kinyume na hizo zinazo fanywa. Japo Biblia siamini, hakuna mafundisho ndani ya Biblia yanaelekeza namna ya uponyaji mnao fanyiwa na hao wanao itwa manabii.

Kingine mnatakiwa mjua Shetani anafanya vipi kazi, uwezo huo amepewa.

Huwezi kiwatibu watu katika mchanganyiko na wako uchi, ukasema hiyo ni tiba sahihi, sababu inaenda kinyume na mafundisho sahihi ya Mola.
 
Sheitani imani yako ni ipi uko kwa Mungu au Lucifer
Mkuu wote tukiulizwa unampenda nani? Tutajibu Mungu ila kiuhalisia tuna Muogopa tu kwa vitisho hilo Mungu analijua fika na shetani kwa maarifa yake anajua kipigilia msumariii

Upendo wa kweli haufanyi kitu kukosa upande wapili ndio maana Mungu pia anaangamiza
 
Back
Top Bottom