Hivi vitu vina maana gani?

Hivi vitu vina maana gani?

Watu hawaamini kwamba ukiamini unaponywa. Wengi wanaeonda kwa imani wanapona pale.

Kuna ndugu yangu amepona pale vizuri Sana,Ila ukileta uzi humu unaambiwa wewe ni tapeli,wengine huenda mbali zaidi wanashihaki Hadi dini yako utaitwa wewe ni kafiri na majina kibao ya kudhalilisha ukristo wako. Ila Mungu Ni mwema Sana kila wakati.
Tulia wanakuja kubisha hapa,uzuri mleta Uzi nadhani Ni Muslim.
 
Ukila vizuri, kwao ni kosa. Ukipendeza, kwao ni kosa 😅😅😅😥
kabisa, kuna bibi yangu aliwahi kuniusia, alinambia mjukuu wangu ukienda miji ya watu ukiona watu wanchechemea na wewe chechemea usiende kwa miguu kamili watakuumiza sababu upo tofauti nao sikuwah kumwelewa had nilipokuja kua na kwangu na watu wa mji huu tunayoishi ndio nimeelewa
 
nikiomba mwenyewe nitaupata huonuponyaji?? au kuna watu maalum
Swali zuri sana.
Tunaenda kuombewa na watu kwasababu hatujui kuomba sawasawa na au kutokuwa na imani na nguvu ya maombi.

Lakini kila mtu ana haki ya kumuomba Mungu na kupata haki yake.

Maombi ni sawa na utetezi wa kisheria.
Unaweza kuwa na haki lakini huna ufahamu wa vifungu vya sheria kujitetea hivyo utahitaji wakili akuteteee.

Hivyo jibu ni ndio unaweza kuomba mwenyewe
 
Swali zuri sana.
Tunaenda kuombewa na watu kwasababu hatujui kuomba sawasawa na au kutokuwa na imani na nguvu ya maombi.

Lakini kila mtu ana haki ya kumuomba Mungu na kupata haki yaje.

Maimbi ni sawa na utetezi wa kisheria.
Unaweza kuwa na haki lakini huna ufahamu wa vifungu vya sheria kujitetea hivyo utahitaji wakili akuteteee.

Hivyo jibu ni ndio unaweza kuomba mwenyewe
nilichokuelewa ni swala la imani, ukiamini inakua s ndio??
 
mkuu kama nataka kujua wewe nifahamishe sio dhambi wala ndio mana tunaenda shule tunafundishwa nakupata elim kumbuka tunafundishwa ndio tunaelewa sasa ukianza kujibu short and clear unakua kama hujatendwa haki u great thinker wako
Tatizo ya mambo ya nyuma ni kama hadithi ila kiuharisia ni kweli mwanamke ni daraja sana

Ila sipendi niongee kitu maana bado sijapata ruhusa ya Mungu kwa ahadi ya mdomo wangu

Alafu sio lazima kukuta mwalimu kafaulu wote mnaweza feli VITA NI KUBWA
 
Back
Top Bottom