Signoradellap
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,975
- 147,880
- Thread starter
- #141
AhsantePoleni sana
AhsantePoleni sana
😭😭😭 Daaah unajua huyo rafik yako hiyo siku alikua anafunguliwa majini na mairizi yote aliyofungwa kichawi, ni vile hamkuweza kuelewa ila ingetokea miujiza mikubwa sana mngeshangaa miujiza ya Mungu... Kama bado yupo huyo rafiki yako, siku moja mpeleke ktk mkutano wa Mwamposa chukueni yale maji au mafuta myatumie... Thank me later my dearmimi kuna siku alikua live hapo kawe nikawa naangalia tu kipi kinaendela akawa na maombi kuna rafiki yangu alinyanyua tu glass ya maji kule kweye tv waliambiwa wayanyanyue yale maji akanywa bas alilegea mnoo yan kama anaskia kichef chef tukabadili channel lakini hatukua na hio iman kwamba kipo kitu halaf tulikua tunafanya just for fun
endelea mkuu nahisi hujamalizaToka pale Eden mlitamkiwa mtakuwa na vita kwa UZAO wenu dhidi yake ... That's why ht mapepo yanawashambulia KE kuzidi ME.
😂 madame umenifanya nicheke kwa sautimbona kutishana, shetani ushindwe na ulegee, unyong'onyee upotee
🤣🤣🤣🤣 Ewaaaaah hatimayee miamba mmeufikia Uzi.Kwani bibie uchawi haiwezi kutoa uchawi mwingine ?
Angalia shetani asikupotoshe usiku huumbona kutishana, shetani ushindwe na ulegee, unyong'onyee upotee
Mwamposa yupo wapi hapa?Kampeni hiyo ya Mwamposa watu mnakazi anyway hili nalo litapita.
Madam pitiaga Bible kidogo. Unantia aibu mdadaendelea mkuu nahisi hujamaliza
Si unaona shuhuda hizi washawish uwasindikize kwa Mwamposa... Hata Mungu atakubarik kwa wema huoKuna rafiki yangu mwanae anazimia pia akienda shule anahangaika sanaa mtoto yule alitakiwa awe form 3
mimi kumpeleka huko ni mtihani alikuja kunisabahi tukajikuta tunaangalia inuka uangaze, tena ilikua jioni ikabidi asiondoke had alipokaa sawa halaf hatukua tunajua n hayo maj tukawa tunaambiana mbona imekua hivo ni nini au unaumwa,😭😭😭 Daaah unajua huyo rafik yako hiyo siku alikua anafunguliwa majini na mairizi yote aliyofungwa kichawi, ni vile hamkuweza kuelewa ila ingetokea miujiza mikubwa sana mngeshangaa miujiza ya Mungu... Kama bado yupo huyo rafiki yako, siku moja mpeleke ktk mkutano wa Mwamposa chukueni yale maji au mafuta myatumie... Thank me later my dear
Shida yenu ni Moja, Bado hamjajua tiba za Mungu na tiba za kishetani. Hili pia linataka Elimu kutofautisha.🤣🤣🤣🤣 Ewaaaaah hatimayee miamba mmeufikia Uzi.
Mungu awatetee Sana... nashukuru kwa kunyanyua kiwango cha Imani yanguNi kweli,
Dua la kuku halimpati mwewembona kutishana, shetani ushindwe na ulegee, unyong'onyee upotee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ewaaaaah hatimayee miamba mmeufikia Uzi.
to be honest sijawah kuisoma naijua bible, tena ubaya nyumbani ipo ile agano la kale ila huo mda wa kusoma sasa nisome nielewe nisipoelewa nitaeleweshwa na nanMadam pitiaga Bible kidogo. Unantia aibu mdada
Wewe hujamuelewa bado huyo dada... Kwahio kama wew ni mkristo maana yake huna jicho la rohoni kutambulika dada wa watu ni mtu wa aina gani na umsaidie vipiMadam pitiaga Bible kidogo. Unantia aibu mdada