Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,190
- 34,526
My God, nipo mkoani sasa itakuajeFanya hivi agiza mtu siku akienda kwa Mwamposa akuletee hayo maji au mafuta umpelekee rafiki yako... Au apelekewe moja kwa moja nyumban kwake kama wewe huwez... Unaweza muagiza hata bodaboda muaminifu akaenda pale kanisani akachukua yale maji au mafuta akampelekea... Mwambie ile siku alivyo jisikia hali ile ndio ilikua uponyaji wake