Promo za manabii hizoWhat is happening here. ina maana huko mliko hangaika hamkuambiwa mambo ya funguo and all that stuff Ndio mnashangaa leo kavitapika ??
Promo za manabii hizoWhat is happening here. ina maana huko mliko hangaika hamkuambiwa mambo ya funguo and all that stuff Ndio mnashangaa leo kavitapika ??
Amen,Poleni sana.
mawardat nakusihi sana, kwa kuwa amepata uponyaji kupitia njia hiyo basi aende katika njia hiyo kiimani.
Malaika wachafu watolewapo na kukimbizwa basi huenda na kujipanga. Na safari nyingine hurudi katika mafungu Saba. Kama watakuta uwazi, basi wataharibu mara Saba zaidi ya awali.
Mwenyenzi Mungu awape nguvu katika kukubaliana na Hilo.
bado hujataka nielewe, haya Mungu akuwezeshe uje unifahamisheTatizo ya mambo ya nyuma ni kama hadithi ila kiuharisia ni kweli mwanamke ni daraja sana
Ila sipendi niongee kitu maana bado sijapata ruhusa ya Mungu kwa ahadi ya mdomo wangu
Alafu sio lazima kukuta mwalimu kafaulu wote mnaweza feli VITA NI KUBWA
kweli??Promo za manabii hizo
Ni kweli,Tulia wanakuja kubisha hapa,uzuri mleta Uzi nadhani Ni Muslim.
Hapa kwenye maombi ndiyo sijaelewa.Leo usiku baada ya kufuatilia maombi katapika vitu hivi.
Inaumiza sana ila mwisho wa hayo yote umefika u karibu kikubwa ni kuzidi kujiweka karibu na Mungu, atampigania dhidi ya watesi wake.Ni kweli kama huyu,mwaka 2021 tareh 14 mwezi wa pili,alipotea na mida ya jioni alikuwepo nyumbani na mida hiyo ndiyo muokotaji alisema kamuokota akiwa kazimia ni mbali sana na nyumbani,
Tungo jadidi,riwayakweli??
Huyu ni bado dogo sana na anapenda shule vibaya sana, na hata kwenye ukuaji badoKipindi niko skonga kuna mademu flani walikua wanazimiazimia mapepo, hadi walimu wakawa wanaogpa kumbe ni gia ya kukataa shule maana kalibia wote waliokuwa wana-fake walipata mimba, wengne wakafukuzwa
Tunashukuru kwa muujiza na uponyaji wa mtotoYeah, mawardat ni muislamu. Na katika huu uzi ameandika walimpeleka Zanzibar huyo mgonjwa ila hajapona kaenda kupata huo muujiza church.
"Mkiliamini jina langu mtafanya makubwa kuliko haya ninayoyafanya mimi" Yesu kristo.
Kwani bibie uchawi haiwezi kutoa uchawi mwingine ?Kuna WABISHI wanakuja kujaza uzi.
Yatafute yapo yamejaaa kila siku Mungu anamwaga mchele kwenye kukuwengi sema tu hujaitaka neema iombe hata kesho utaipata lkn sijui hata kama utaikubali nausipo ifuata ujue moto wetu sio wakuchezeabado hujataka nielewe, haya Mungu akuwezeshe uje unifahamishe
Kiukeeli tunafuatilia kwenye tv tu na maji na mafuta tulisafiri kuvifuata mkoani, kwa kanisani tutaenda jiraniMkuu mawardat nakushauri ,badala ya kuharibu na kuchoma Moto hivyo hiyo irizi, mngeipeleka kanisani. Maana mlianza na kanisa malizeni na kanisa.
Ukienda na Hilo li' hirizi watajua jinsi ya kumaliza tatizo moja kwa moja happy kanisani mlipoenda.
Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.naamini Mungu yupo na aukimuomba kwa nia thabiti anakujibu hili nliamini 100%
mbona kutishana, shetani ushindwe na ulegee, unyong'onyee upoteeYatafute yapo yamejaaa kila siku Mungu anamwaga mchele kwenye kukuwengi sema tu hujaitaka neema iombe hata kesho utaipata lkn sijui hata kama utaikubali nausipo ifuata ujue moto wetu sio wakuchezea
Toka pale Eden mlitamkiwa mtakuwa na vita kwa UZAO wenu dhidi yake ... That's why ht mapepo yanawashambulia KE kuzidi ME.bado hujataka nielewe, haya Mungu akuwezeshe uje unifahamishe