Hivi vitu vina maana gani?

Hivi vitu vina maana gani?

Yaani tumejioneo si adithi
mimi kuna siku alikua live hapo kawe nikawa naangalia tu kipi kinaendela akawa na maombi kuna rafiki yangu alinyanyua tu glass ya maji kule kweye tv waliambiwa wayanyanyue yale maji akanywa bas alilegea mnoo yan kama anaskia kichef chef tukabadili channel lakini hatukua na hio iman kwamba kipo kitu halaf tulikua tunafanya just for fun
 
Uwepo wa mungu ni mkubwa...

Familia nzima inawapaswa kufanya maombi sana na kuendelea kutumia hayo mafuta kwa kunyunyiza(kumwaga) pande zote za nyumba hata hayo maji pia na kuongeza imani kwanye maombi huenda anaefanya hayo maovu hatokei mbali na familia yenu..

Poleni sana.
Ahsante,maji tulinnua hayo yaliyoombewa siku saba ndiyo anayotumia kunywa, ya kumwaga na home tu,,,sasa anasema kila akimwaga maji anahisi ndani kuna nyoka mkubwa sana mwenye rangi nyeupe lkn tutamuona akiwa kafa,
 
Back
Top Bottom