Cha muhimu mtoto apone hata kama ni njia nyeusi unavyotuaminisha kuna shida yoyote? Asee Kuna watu wanateseka, kama haupo kweny kundi hilo waache wenye mahitaji wapate msaada kwa njia yoyoteMkuu kweli amefunguka ila nyuma ya pazia nikwamba moyo wake umesgageuzwa na kuwa mtumwa atakiri yesu atakiri mungu ila bila maarifa 😔🤐
Kapotea anae toa bure ni Mungu tena bila sharti ila hapo 100% ni nguvu nyeusi
HAUTA NIELEWA KAMWE ILA YATAFUTE MAARIFA UTAJUA UKWELI
Ukila vizuri, kwao ni kosa. Ukipendeza, kwao ni kosa 😅😅😅😥hapana sipo hivo lakini wapo waja wenye roho za husda hawaepukiki hata ukiwatendea wema kwao hautoshi
Mwamposa hakuponyi yeye. Bali anakumbea kwa Mungu kupitia Yesu Kristo. Na kwa maombi yake unapata uponyaji.okay, vipi kuhusu mwamposa
mkuu kama nataka kujua wewe nifahamishe sio dhambi wala ndio mana tunaenda shule tunafundishwa nakupata elim kumbuka tunafundishwa ndio tunaelewa sasa ukianza kujibu short and clear unakua kama hujatendwa haki u great thinker wakoUnata kusikia nini?
Hili ndio tatizo la binadamu
Ili ndio baya zaidi. Husda hadi kwa watoto😥😥😥Wengine wakishaona mtoto baadae atakuwa nyota wanamvuruga tu kusudi,
Mwamposa si anaponya kwa jina la Yesu?okay, vipi kuhusu mwamposa
Na alikuwa kafungwa hasa.. Kwanza na manila pili na kufuli[emoji16][emoji16][emoji16]kumfunga kabisa
nikiomba mwenyewe nitaupata huonuponyaji?? au kuna watu maalumMwamposa hakuponyi yeye. Bali anakumbea kwa Mungu kupitia Yeah Kristo. Na kwa maombi yake unapata uponyaji.
Et uswetwani wakoPeleka upuuzi wako na ushwetwani wako huko.
Muda mwingine ni bora kukiri bila maarifa kilichokuletea unafuu na uponyaji kuliko kukiri ukiwa na maarifa huku ukiwa kwenye mateso makali na hatimaye kifo.
Imani yake imemponya.
Unapata tu ila uwe na imani.nikiomba mwenyewe nitaupata huonuponyaji?? au kuna watu maalum
unanichanganya rafiki yangu, lets say wewe huna hio nguvu ni watu maalum???Mwamposa si anaponya kwa jina la Yesu?
Bila hiyo nguvu hawezi kitu
asante sanaUnapata tu ila uwe na imani.
Watu hawaamini kwamba ukiamini unaponywa. Wengi wanaeonda kwa imani wanapona pale.Rafiki Yesu hashindwagi kitu amini usiamini
Ni kweli kama huyu,mwaka 2021 tareh 14 mwezi wa pili,alipotea na mida ya jioni alikuwepo nyumbani na mida hiyo ndiyo muokotaji alisema kamuokota akiwa kazimia ni mbali sana na nyumbani,Binadamu wabaya jamani haya mambo nilikua nikiyashuhudia sana kipindi nasoma primary na o level, kuna watu walikuwa wakikanyaga tu shule ni kosa kubwa ni mateso mpaka huruma. Mungu yupo na anaponya, waja watachelewesha tu mambo ila hawawezi kuzuia baraka zake daima.