hapana sipo hivo lakini wapo waja wenye roho za husda hawaepukiki hata ukiwatendea wema kwao hautoshiUsichokoze majirani 😅😅
Ndiyo,na walikuwa wanatuambia ni uchawi na ndugu yupoNa ukute anaemchezea ni ndugu kabisa
Ndiyo,na walikuwa wanatuambia ni uchawi na ndugu yupo
Mkuu kweli amefunguka ila nyuma ya pazia nikwamba moyo wake umesgageuzwa na kuwa mtumwa atakiri yesu atakiri mungu ila bila maarifa 😔🤐kivipi wakati wewe ndie shetani
We bwana hebu elezea vizuri,unaleta utataMkuu kweli amefunguka ila nyuma ya pazia nikwamba moyo wake umesgageuzwa na kuwa mtumwa atakiri yesu atakiri mungu ila bila maarifa 😔🤐
Kapotea anae toa bure ni Mungu tena bila sharti ila hapo 100% ni nguvu nyeusi
HAUTA NIELEWA KAMWE ILA YATAFUTE MAARIFA UTAJUA UKWELI
AmenNi ajabu ukistaajabu hayo mambo lkn ukifahamu kuwa binadamu tumeumbwa na chuki iliyojaa vinyongo lazima utamkumbuka mungu na kumshirikisha katika kila hatua na matendo yako maishani...Huyo ni mtu mbaya sana anaewatendea hayo inabidi muongeze maombi sana na kuzidisha imani kuwa mungu yupo pamoja na nyinyi mkabizi hizo shida na mateso kwake na yatakwisha..
maarifa nayapataje nijuze nieleweMkuu kweli amefunguka ila nyuma ya pazia nikwamba moyo wake umesgageuzwa na kuwa mtumwa atakiri yesu atakiri mungu ila bila maarifa 😔🤐
Kapotea anae toa bure ni Mungu tena bila sharti ila hapo 100% ni nguvu nyeusi
HAUTA NIELEWA KAMWE ILA YATAFUTE MAARIFA UTAJUA UKWELI
Binadamu wabaya jamani haya mambo nilikua nikiyashuhudia sana kipindi nasoma primary na o level, kuna watu walikuwa wakikanyaga tu shule ni kosa kubwa ni mateso mpaka huruma. Mungu yupo na anaponya, waja watachelewesha tu mambo ila hawawezi kuzuia baraka zake daima.Nyoka
Ameteseka kiukweli,siku anaamka hafumbui macho anasema wamemgongelea misumari lkn sie hatuioni,But why Jamani!?Hawa walozi Ni watu waovu Sana....wamemtesa Sana mtoto aiseee
Rafiki Yesu hashindwagi kitu amini usiaminiHivi kumbe huyo mtu yupo serious kiasi hiko?? mimi nilikua najua ni kama anafanya utapeli plus thread za humu
AmenHalafu yanatokea mapumbavu yaliyo laaniwa yanamdis MWAMPOSA...
ONDOA SHAKA NDUG YANGU MTOTO AMEPONA KABISA, HONGERA MUNGU AMEPONYA MTOTO KUPITIA MAJI NA MAFUTA YA MWAMPOSA... Narudia tena mtoto amepona sasa yupo huru hataumwa tena na atafaulu kwa jina la YESU... Mungu ni mwema
Peleka upuuzi wako na ushwetwani wako huko.Mkuu kweli amefunguka ila nyuma ya pazia nikwamba moyo wake umesgageuzwa na kuwa mtumwa atakiri yesu atakiri mungu ila bila maarifa 😔🤐
Kapotea anae toa bure ni Mungu tena bila sharti ila hapo 100% ni nguvu nyeusi
HAUTA NIELEWA KAMWE ILA YATAFUTE MAARIFA UTAJUA UKWELI
Unata kusikia nini?We bwana hebu elezea vizuri,unaleta utata
Hili ndio tatizo la binadamumaarifa nayapataje nijuze nielewe
Poleni sana endeleeni na maombi lakini hapo uponyaji tayari kwa asilimia 90Wassalaam,
Nina mdogo wangu yupo na miaka 13,kidato cha kwanza,
Huyu mtoto kiukweli ameteseka sana na baadhi ya mambo aliyoyapitia huyu mtoto yanatisha,
Alivyokuwa darasa la tano alipatwa na matatizo ya kuzimia,tatizo la kuzimia alianzia nyumbani na hiyo siku alikuwa katoka shule,alivyoingia ndani tulisikia akipiga kelele na kuanguka,,,,,,tokea hapo alikuwa anazimia bila mpangilio hasa akienda shule hasomi,
Ikapelekea tukamuhamishiaa shule ya jirani na nyumbani,lkn kila akienda shule anazimia, Tumepambana sana na tiba na visomo lkn kama inapoa tu baada ya muda kinaumana tena,
Alivyomaliza shule tukampeleka znz nyumbani kwaajili ya tiba, maana alikuwa akizimia anapandisha mashetani akizinduka anapotolea kusiko julikana. Kafanyiwa tiba znz na tukaambiwa kapona na hayawezi mtokea tena,
Karudi home, tumempeleka shule kaingia darasani wiki moja tu kimeumana tena kila akienda shule anazimia, Kiukweli tu, wenyewe tumeshachoka na hii hali ya dogo maana tumezunguka sana kutafuta tiba na visomo lkn hakuna wapi!!!,
Wiki iliyopita kaanza kutumia maji na mafuta ya,,,,,,,,,,,,.
J,nne karudishwa shule kasema anakuhoa sana na mbavu zinambana na kuna kitu kimemkaba kohoni kama anataka akitapike,
Leo usiku baada ya kufuatilia maombi katapika vitu hivi,
Hivi kama kavitoa hivi inamaana hatosumbua tena??
View attachment 2538649View attachment 2538650
Amina ya radi💥💥💥Nasubiri comments za "MWAMPOSA NI TAPELI" nimekaa pale.
Kwa Bwana YESU kila goti litapigwa. Ashukuriwe Mungu aliyemponya mtoto asiye na hatia.
okay, vipi kuhusu mwamposaRafiki Yesu hashindwagi kitu amini usiamini