Signoradellap
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 29,283
- 148,820
- Thread starter
- #41
Kwakweli,dogo anapenda sana kusoma na akili anazo,sasa shule ya msingi hata mtihani amefanya kibishi sana,,,,shida alikuwa akienda shule tu mara haoni,mara anakuwa bubu sometimes alikuwa anasema akiandika kuna mtu anamjia mbele anamtishia asiandike,au anahisi usingizi mzito akisema ajilaze kwenye dawati yaani wanamuokota chooni kazimia.Unakuwa na mtoto haelewi shule,anaumwa anasumbua kumbe Kuna mwamba yupo na remote yake anacontrol game