Hivi vidonge kweli ni viagra?

Hivi vidonge kweli ni viagra?

Jamaa yako ana ngoma /HIV
Na hizo ndio dawa anatumia kupunguza makali ya ukimwi, nenda nawe ukapime pole.....
Nahisi we ni mdogo sana hata 20 sijui kama umefikisha, pole sana
Shiiiiiiiiiiiiii!!
Taratibu, usije ukatupunguzia raia.
Unatakiwa kumpongeza kwanza Kwa ujasiri alioupata aafu muincourage akapima.
Mfanye asijisikie kama yeye ndio basi tena!!
Sawa ticha???

Kuna another chance, by the way unajua kuwa most of dudes with chapaaa wako kwa hii Kitu???

Na pia, unaweza kuwa huna dozi hii ukawa na ya kisukari, high bp etc.
It's the matter of life time consumption!!
 
We ndo unajichanganya, hakuna viagra hapo
Ticha mkavu wewe!!!
Hutaki hata kutufariji sie vilaza jamani?

Hata kutuambia "msihofu, labda Mungu atashuka na kuwafanya muelewe, blah blah," hakuna !!!!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ticha mkavu wewe!!!
Hutaki hata kutufariji sie vilaza jamani?

Hata kutuambia "msihofu, labda Mungu atashuka na kuwafanya muelewe, blah blah," hakuna !!!!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yani hapo amejiandaa kisaikilojia kwamba kwa sababu ya hivo vidonge ndio maana dozi kitandani imezidi, sasa kusikia hizo ni ARV kapata wenge teh
 
Shiiiiiiiiiiiiii!!
Taratibu, usije ukatupunguzia raia.
Unatakiwa kumpongeza kwanza Kwa ujasiri alioupata aafu muincourage akapima.
Mfanye asijisikie kama yeye ndio basi tena!!
Sawa ticha???

Kuna another chance, by the way unajua kuwa most of dudes with chapaaa wako kwa hii Kitu???

Na pia, unaweza kuwa huna dozi hii ukawa na ya kisukari, high bp etc.
It's the matter of life time consumption!!
Nkua najaribu kumuelewesha vizuri zaidi, kaambiwa hizo ni ARV kauliza tena ndio vidonge vya nini... Maana yake hajui ARV ni nini
 
Ni ARV hizo. Havina uhusiano wowote na nguvu za Kiume, hivyo vidonge ni maalum kwa waathirika wa Ukimwi.
 
Ni ARV hizo. Havina uhusiano wowote na nguvu za Kiume, hivyo vidonge ni maalum kwa waathirika wa Ukimwi.
Mkuu, haijathibitishwa Kama havina uhusiano na nguvu za kiume.
Unaweza kuta the other side ya dawa inaongeza libido.
 
Hizi thread za kuwatoa watu kwenye mood ya skukuu.
 
Back
Top Bottom