Hivi vidonge kweli ni viagra?

Hivi vidonge kweli ni viagra?

Inaelekea Arv zina ongeza mambo kunako 6/6 sababu naona dada hapo anasema jamaa yake amezidishaa....(anafanya sana)
 
mmesababisha muandika thread ayeyuke hahaha kweli ngoma balaa hajaonekana tena maskini mweeee
 
mbona watu mnapotosha jamii hizo pills zinaitwa ibuprofen kidonge kimoja kinaujazo wa 800mg.kazi yake nikutibu maumivu ya meno,mgongo na hata misuli pia.usilopoke kama kitu hukijui tuachien wenye taaluma nacho.
 
Back
Top Bottom