Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

hapo sasa na hapo ndipo wengi wanapochanganya, uislamu ulianzishwa karne ya 7 na Muhamad yaani miaka zaidi ya 600 baada ya Christo, kabla ya Muhamad hakukuwa na uislamu na waarabu hawakuwa waislamu, kwanza sehemu kubwa ya uislamuni ya leo kama uturuki, siria, mpaka irak na north afrika yote ilikuwa ni Christian …
Uislam ulianza na Nabii Adam
 
hapo sasa na hapo ndipo wengi wanapochanganya, uislamu ulianzishwa karne ya 7 na Muhamad yaani miaka zaidi ya 600 baada ya Christo, kabla ya Muhamad hakukuwa na uislamu na waarabu hawakuwa waislamu, kwanza sehemu kubwa ya uislamuni ya leo kama uturuki, siria, mpaka irak na north afrika yote ilikuwa ni Christian …
Yaani wana vichwa vigumu kama mawe yakusagia sijui kwanini wanapenda kujipendekeza wakati bible imeandika Ibrahim - YESU KRISTO vizazi 42, huo Uislam ulikuwa wapi! Nikuwaacha nakuwasamehe, tuwaombee tu siku moja mafunuliwe
 
Ujue bible haijawahi andika Uislam Wala habari za Mudi zaidi ya wafiristi 🤣🤣🤣🤣🤣
Kama wewe biblia inakwambia Daudi alikuwa nabii na bado huamini utaamini nini sasa🤣🤣🤣🤣
 
Uislam ulianza na Nabii Adam

kabla ya Muhamad karne ya 7 (baada ya Kristo) kulikuwa hakuna muislamu hata mmoja, labda kama waliitwa jina lingine lkn siyo waislamu, uislamu ulianzishwa na Muhamad miaka 600 baada ya Yesu …
 
kabla ya Muhamad karne ya 7 (baada ya Kristo) kulikuwa hakuna muislamu hata mmoja, labda kama waliitwa jina lingine lkn siyo waislamu, uislamu ulianzishwa na Muhamad miaka 600 baada ya Yesu …
Jina ndio halikuwepo lakini waislam walikuwepo
 
Mimi nimesema hivo sio kwa kudhani, ni kweli kabisa. We nenda kwenye websites za matokeo uone shule za zenji zinavyozalisha vilaza. Kila mwaka zinakuwaga za mwisho. Hiyo inatokana na kutokuzingatia mambo ya shule wao kila kukicha ni madrasa tu kufundishana upuuzi.
Nafkir wakristu hususan wa kitanganyika huwa hamfundishwi adabu makanisani mwenu. Mnachoelekezwa ni kuwa mazwazwa na kusamehewa zambi.

Hata kuongea hamjui, wehu kupita kiasi na mnajiona mnaakili na maarifa. Ati zanzibar inatoa vilaza. Umeshawahi kusoma na wazanzibari ukagundua kuwa wao ni vilaza? Mwehu mmoja. Manatia hasira. Uwe na adabu kinyesi we
 
Jina ndio halikuwepo lakini waislam walikuwepo

uislamu ulianzishwa na Muhamad kipi kigumu hapo? kwenye Biblia takatifu Agano jipya hakuna neno uislamu popote na sababu ni kwamba haukuwepo (uislamu) wakati wa Yesu , ila Yesu alionya kuhusu manabii watakaikuja na kujitokeza, uislamu ulikuja miaka 600 baadaye baada ya Yesu …
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Umeleta ustaarabu wa kiarabu na tamaduni za kiarabu tu. Hakuna la maana.
 
Nafkir wakristu hususan wa kitanganyika huwa hamfundishwi adabu makanisani mwenu. Mnachoelekezwa ni kuwa mazwazwa na kusamehewa zambi.

Hata kuongea hamjui, wehu kupita kiasi na mnajiona mnaakili na maarifa. Ati zanzibar inatoa vilaza. Umeshawahi kusoma na wazanzibari ukagundua kuwa wao ni vilaza? Mwehu mmoja. Manatia hasira. Uwe na adabu kinyesi we
Sasa we mzee mi kusema zenji wanazalisha vilaza unaona sina adabu, then hapa ulichokiandika ndo adabu hii? Au mtume wenu yule kilaza asiyejua kusoma na kuandika ndo anawafundisha adabu hii?

Nasema tena Zanzibar inazalisha vilaza, kama huamini pitia websites za matokeo Kisha angalia shule za Zanzibar jinsi zilivyo za ovyo.
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Uislamu umeleta daku na futali na kaswida.zaidi ya hapo tutawasingizia .
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Ukristu uliwahi kuleta nini?
 
Back
Top Bottom