Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Kwani Ibrahimu alikuwa dini gani?na unajua maana ya Uisilamu tafsiri yake?
Walikuwa waabudu miungu, maana baba yake alikuwa mchonga sanamu, Tena hapo alikuwa akiitwa Abram akiwa mpagani
 
Walikuwa waabudu miungu, maana baba yake alikuwa mchonga sanamu, Tena hapo alikuwa akiitwa Abram akiwa mpagani
"Na ibrahim hakuwa myahudi wala mkristo, lakini alikuwa mpwekeshaji muislamu na wala hakuwa katika washirikina."

Qu'ran 3:67

Na torati na injili vimekuja baada yake to make records clear.
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Kwani Tamaduni ya Kutumia Maji Unapoenda Chooni Imeletwa na Nani?
Tamaduni ya Kuoga na Kusafisha Mwili wameleta Kina nani?
Tamaduni zote zilizopo.afrika kama Heshima na Salamu zote zimetokana na Uislamu Nenda Kenya ambako hakuna Uislamu Mwingi angalia Ustaarabu wao (Bila Kugusa Mombasa ambako Wanafanana Utamaduni na Tanzania)
 
Labda hiyo ni kwa upande wa dini yenu.
Ibrahim kabla akiitwa Abram na baba yake alikuwa mchonga sanamu au vinyago, alipoitwa yeye Abram akatoka Uru wa Wakalidayo huko ndipo MUNGU alimuita Ibrahim na mkewe Sara badala ya Sarai, na alitoka akiwa na umri wa 75yrs huko Harani
 
"Na ibrahim hakuwa myahudi wala mkristo, lakini alikuwa mpwekeshaji muislamu na wala hakuwa katika washirikina."

Qu'ran 3:67

Na torati na injili vimekuja baada yake to make records clear.
Acha wehu wapi nimeandika alikuwa myahudi, huyo ibrahim wakwako , lakini Ibrahim aliyemzaa Isaka, akaja Yakobo alitokea Uru wa Wakaldayo kasome Mwanzo 11:27-32, toa huo mcharazo wako usioeleweka
 
Baba yake ndiye alikuwa mwabudu sanamu,lakini yeye hakuwai kuabudi sanamu yeye alikuwa Muisilamu
Kwahiyo Uislam umekuja kabla Mohamed mnayekula pilau lake Leo hii? Ha ha ha ha jamani ! Sasa wewe si alikuwa hapo hapo Kwa Baba yake ndiyo akachomolewa hapo kama Gideon wakitabu Cha Waamuzi baba yake Yoashi si alikuwa na miungu
Baali?
Hivi wewe ukiwa unaishi unaishi na baba yako sangoma wale kuku wa kafara si mnakula wote sasa unajitoaje kama hujatoka hapo? Soma bible Kwa kuitafakari utaelewa
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Aiseeeee!!!
 
Ibrahim kabla akiitwa Abram na baba yake alikuwa mchonga sanamu au vinyago, alipoitwa yeye Abram akatoka Uru wa Wakalidayo huko ndipo MUNGU alimuita Ibrahim na mkewe Sara badala ya Sarai, na alitoka akiwa na umri wa 75yrs huko Harani
Sawa
 
Sasa kipindi cha Ibrahim kulikuwa na Uislam?

hapo sasa na hapo ndipo wengi wanapochanganya, uislamu ulianzishwa karne ya 7 na Muhamad yaani miaka zaidi ya 600 baada ya Christo, kabla ya Muhamad hakukuwa na uislamu na waarabu hawakuwa waislamu, kwanza sehemu kubwa ya uislamuni ya leo kama uturuki, siria, mpaka irak na north afrika yote ilikuwa ni Christian …
 
Back
Top Bottom