stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 8,887
- 17,546
Naomba kuuliza wadau kuhusu hilo suala la transcript zinazotolewa vyuoni, hizi transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo au ni mpaka mwanafunzi afukuzane na uongozi wa Chuo ndio wampe transcript?
Nasema hivi sababu kuna Chuo X kilichopo maeneo ya Mkoa wa Dar es Salaam kinamzungusha mwanafunzi kumpa transcript yake huu unaenda mwaka wa Pili kila mwanafunzi akienda anaambiwa transcript haijaprintiwa bado Mara anaambiwa anaeprint hayupo amesafiri visingizio haviishi, sasa nauliza hizi transcript kutoka kwenye vyuo vyetu ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa pale anapomaliza Chuo au ni mpaka aombe sana ndio apatiwe transcript yake ?!
Nasema hivi sababu kuna Chuo X kilichopo maeneo ya Mkoa wa Dar es Salaam kinamzungusha mwanafunzi kumpa transcript yake huu unaenda mwaka wa Pili kila mwanafunzi akienda anaambiwa transcript haijaprintiwa bado Mara anaambiwa anaeprint hayupo amesafiri visingizio haviishi, sasa nauliza hizi transcript kutoka kwenye vyuo vyetu ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa pale anapomaliza Chuo au ni mpaka aombe sana ndio apatiwe transcript yake ?!