Hivi Transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo?

Mkuu km unajua hatua za kufuata ili ipatikane elezea maana hapo ndio panaleta utata wapi pa kuanzia?
Mwanafunzi hana tatizo maana alipoenda wamecheck mbele ya msajiri km mwanafunzi ana tatizo wakasema mwanafunzi hana tatizo lolote Ila sasa transcript kutoa na kumpa ndio inakua ngumu maana ipo ndani ya laptop inaonekana na mara zote amekua akienda anaonyeshwa transcript yako ipo hii hapa Ila kuiprint ili apewe ndio anazungushwa achukue hatua zipi ili aweze kupatiwa? Sio Chuo Cha kata ni Chuo cha Serikali
Kuna shida mahali na pa kuanzia ni kwa Mkuu wa chuo

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Kitaje jina hicho chuo kumzungusha mtu kwa miaka miwili ni uzembe uliopitiliza, ndani ya miaka miwili angeweza kupata ajira, kujiendeleza kielimu n.k. Hiyo kitu ingemkuta mtu mtata unaenda kufungua kesi mahakamani upewe transcript na ulipwe fidia. Tatizo inawezekana huyo anayedai ana uoga mwingi ndio maana anazungushwa.
 
Transcript ni matokeo yote ya chuo kwa mihula na miaka yako. Na ni haki yako sio ombi, kama inazuiliwa basi clearance haijakaa sawa yaweza kuwa unadaiwa bado lakini mdaiwa anatoa ubishi kuwa hadaiwi, hapo huwezi kupewa. Fanya clearance!

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Mkuu haujaelewa Cheti hupewi km hujafanya clearance, cheti wametoa Ila transcript wameizuia maana clearance ilishafanyika na msajiri alishasaini mwanafunzi hana tatizo lolote na wakicheck taarifa za mwanafunzi km ana tatizo lolote inaonyesha mwanafunzi hana tatizo lolote na walishathibitisha mbele ya msajiri Ila kumpatia transcript yake mwanafunzi ndio kuna mvutano, achukue hatua zipi? Elezea hatua za kufuata km unazijua mkuu
 
Mkuu haujaelewa Cheti hupewi km hujafanya clearance, cheti wametoa Ila transcript wameizuia maana clearance ilishafanyika na msajiri alishasaini mwanafunzi hana tatizo lolote na wakicheck taarifa za mwanafunzi km ana tatizo lolote inaonyesha mwanafunzi hana tatizo lolote na walishathibitisha mbele ya msajiri Ila kumpatia transcript yake mwanafunzi ndio kuna mvutano, achukue hatua zipi? Elezea hatua za kufuata km unazijua mkuu
Mkuu wa chuo anajua? Kwanini kama hana tatizo wamzuilie? Be specific shida ni nini ili tukusaidie. Haileti sense mwanafunzi hana tatizo halafu anyimwe transcript.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Naomba kuuliza wadau kuhusu hilo suala la transcript zinazotolewa vyuoni, hizi transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo au ni mpaka mwanafunzi afukuzane na uongozi wa Chuo ndio wampe transcript?

Nasema hivi sababu kuna Chuo X kilichopo maeneo ya Mkoa wa Dar es Salaam kinamzungusha mwanafunzi kumpa transcript yake huu unaenda mwaka wa Pili kila mwanafunzi akienda anaambiwa transcript haijaprintiwa bado Mara anaambiwa anaeprint hayupo amesafiri visingizio haviishi, sasa nauliza hizi transcript kutoka kwenye vyuo vyetu ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa pale anapomaliza Chuo au ni mpaka aombe sana ndio apatiwe transcript yake ?!
Nenda kwa mkuu wa wilaya husika inapigwa simu Moja tu itaprintiwa hata saa Tano usiku
 
Kuna mengi nitayaeleza baadae nikipata wasaa kuhusu huu mkasa Ila kwa sasa nilihitaji kujua km transcript ni haki au ni ombi, sasa km ni haki ikiwa km Chuo kimegoma kutoa transcript na kimeizuia, Mwanafunzi achukue hatua zipi ili apatiwe transcript yake ?
Taja chuo wewe
 
Mkuu wa chuo anajua? Kwanini kama hana tatizo wamzuilie? Be specific shida ni nini ili tukusaidie. Haileti sense mwanafunzi hana tatizo halafu anyimwe transcript.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Sijafahamu km mkuu wa Chuo anajua, kuhusu kwanini km mwanafunzi hana tatizo kwanini wamzuilie hilo swali hata Mimi najiuliza, kwanini wazuie transcript km mwanafunzi wanasema wenyewe kua hana tatizo na wamethibitisha mbele yake mwanafunzi na mbele ya msajiri kua huyu mwanafunzi hana tatizo lolote baada ya kukagua taarifa zake zinaonyesha mwanafunzi hana tatizo lolote Ila transcript kwanini hawampi? Hilo swali pia mimi najiuliza
 
Sijafahamu km mkuu wa Chuo anajua, kuhusu kwanini km mwanafunzi hana tatizo kwanini wamzuilie hilo swali hata Mimi najiuliza, kwanini wazuie transcript km mwanafunzi wanasema wenyewe kua hana tatizo na wamethibitisha mbele yake mwanafunzi na mbele ya msajiri kua huyu mwanafunzi hana tatizo lolote baada ya kukagua taarifa zake zinaonyesha mwanafunzi hana tatizo lolote Ila transcript kwanini hawampi? Hilo swali pia mimi najiuliza
Una uhakika na anayosema mwanafunzi wako? Ysmkini anakudanganya nenda mwenyewe kajiridhishe ndo ujue cha kufanya.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Naomba kuuliza wadau kuhusu hilo suala la transcript zinazotolewa vyuoni, hizi transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo au ni mpaka mwanafunzi afukuzane na uongozi wa Chuo ndio wampe transcript?

Nasema hivi sababu kuna Chuo X kilichopo maeneo ya Mkoa wa Dar es Salaam kinamzungusha mwanafunzi kumpa transcript yake huu unaenda mwaka wa Pili kila mwanafunzi akienda anaambiwa transcript haijaprintiwa bado Mara anaambiwa anaeprint hayupo amesafiri visingizio haviishi, sasa nauliza hizi transcript kutoka kwenye vyuo vyetu ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa pale anapomaliza Chuo au ni mpaka aombe sana ndio apatiwe transcript yake ?!
UKWELI MCHUNGU.

Kwa vyuo vingi vyenye LEVEL YA DPLM na vilivyo chini ya NACTE mwanafunzi anaposajiliwa taarifa zake huenda NACTE na matokeo yake hujazwa NACTE.

Kila mtihani wa kumaliza NTA LEVEL moja kwenda nyingine matokeo hutumwa NACTE na kujazwa katika MFUMO WA NACTE.

Ili baada ya kumaliza mwanafunzi matokeo huwa NACTE ili baadaye apewe AVN ( AWARD VERIFICATION NUMBER) namba hii ndiyo hutumika kuombea chuo kikuu kama unajiunga na ndiyo huwa utambulisho wa NACTE kuwa wewe ni mhitimu.

PICHA INAANZA HIVI.

Vyuo vingi huwa na janja janja kwa kusajiri wanafunzi nje ya muda hususani vya private, baada ya kumsajili mwanafunzi huendelea kusoma na matokeo yake anapata

LAKN ANAKUWA NACTE HAKUSAJILIWA NA TAARIFA ZAKE HAZITUMWI KULE, NA KUNA MUDA WANASHINDWA KUMUINGIZA NACTE COZ WALIMSAJILI KWA JANJA JANJA.

Cheti kinatolea na CHUO na si simple tu hakina mbambamba lakini TRANSCRIPT hii kitu haina ujanja lazima iwe na muunganiko na matokeo yake NACTE

Sasa chuo kama kilishindwa kumsajili NACTE na kilikuwa hakitumii matokeo yake HAPA JUWA UMEPIGWA.


Nimeandika kwa uzoefu na nimeona kwa macho.

Kukupa cheti siyo issue ila transcript hii haina uongo wala kufoji lazima ujisalimishe NACTE.

USHAURI.

Hakuna sababu yoyote ya kumnyima mtu transcript kama hakuna shida nyingine.

Vyuo vinajuwa watanzania wengi akifatilia kitu huwa anakata tamaaa.

MAMBO YA KUFANYA.

1. Kama uliyeandika ni mzazi NENDA CHUONI, onana na msajili kuwa mkali wakazie mwanzo mwisho.

2. Baada ya kutoka kwa msajiri nenda kwa Mtaaluma mkazie balaa.

3. Baada ya hapo nenda kwa mkuu wa chuo, PS akikukatalia komaa mpaka uingie.

4. Ukiona hujapata majibu NENDA NACTE

Ukienda nacte kama ni chuo kilicho chini ya mfumo wa NACTE huko ndiyo utaambiwa kwenye mfumo yupo au hayupo.

AU

CHUKUA NAMBA YAKE YA USAJILI UOMBE

AWARD VERIFICATION NUMBER,

Kama matokeo yake yapo NACTE itakwambia kama hayapo mfumo utakwambia pia.

Kuomba namba hiyo ya AVN ni rahisi ingia website ya NACTE utakuta utaratibu na unalipia kati ya elfu 3 au elfu 10.

FANYA HIVO UTAPATA JIBU SAHIHI.
 
UKWELI MCHUNGU.

Kwa vyuo vingi vyenye LEVEL YA DPLM na vilivyo chini ya NACTE mwanafunzi anaposajiliwa taarifa zake huenda NACTE na matokeo yake hujazwa NACTE.

Kila mtihani wa kumaliza NTA LEVEL moja kwenda nyingine matokeo hutumwa NACTE na kujazwa katika MFUMO WA NACTE.

Ili baada ya kumaliza mwanafunzi matokeo huwa NACTE ili baadaye apewe AVN ( AWARD VERIFICATION NUMBER) namba hii ndiyo hutumika kuombea chuo kikuu kama unajiunga na ndiyo huwa utambulisho wa NACTE kuwa wewe ni mhitimu.

PICHA INAANZA HIVI.

Vyuo vingi huwa na janja janja kwa kusajiri wanafunzi nje ya muda hususani vya private, baada ya kumsajili mwanafunzi huendelea kusoma na matokeo yake anapata

LAKN ANAKUWA NACTE HAKUSAJILIWA NA TAARIFA ZAKE HAZITUMWI KULE, NA KUNA MUDA WANASHINDWA KUMUINGIZA NACTE COZ WALIMSAJILI KWA JANJA JANJA.

Cheti kinatolea na CHUO na si simple tu hakina mbambamba lakini TRANSCRIPT hii kitu haina ujanja lazima iwe na muunganiko na matokeo yake NACTE

Sasa chuo kama kilishindwa kumsajili NACTE na kilikuwa hakitumii matokeo yake HAPA JUWA UMEPIGWA.


Nimeandika kwa uzoefu na nimeona kwa macho.

Kukupa cheti siyo issue ila transcript hii haina uongo wala kufoji lazima ujisalimishe NACTE.

USHAURI.

Hakuna sababu yoyote ya kumnyima mtu transcript kama hakuna shida nyingine.

Vyuo vinajuwa watanzania wengi akifatilia kitu huwa anakata tamaaa.

MAMBO YA KUFANYA.

1. Kama uliyeandika ni mzazi NENDA CHUONI, onana na msajili kuwa mkali wakazie mwanzo mwisho.

2. Baada ya kutoka kwa msajiri nenda kwa Mtaaluma mkazie balaa.

3. Baada ya hapo nenda kwa mkuu wa chuo, PS akikukatalia komaa mpaka uingie.

4. Ukiona hujapata majibu NENDA NACTE

Ukienda nacte kama ni chuo kilicho chini ya mfumo wa NACTE huko ndiyo utaambiwa kwenye mfumo yupo au hayupo.

AU

CHUKUA NAMBA YAKE YA USAJILI UOMBE

AWARD VERIFICATION NUMBER,

Kama matokeo yake yapo NACTE itakwambia kama hayapo mfumo utakwambia pia.

Kuomba namba hiyo ya AVN ni rahisi ingia website ya NACTE utakuta utaratibu na unalipia kati ya elfu 3 au elfu 10.

FANYA HIVO UTAPATA JIBU SAHIHI.
Sawa mkuu nauchukua ushauri wako,
 
Back
Top Bottom