Hivi tbc wanamdanganya nani?

Didia

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
719
258
Ndg. Wapendwa jana katika tarifa ya habari ya saa mbili usiku TBC walitangaza kuwa kiwango cha kufaulu matokeo kidato cha nne "chapanda" ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Hata Thread iliyokuwa ikipita chini ya luninga ilisoma hivyo. Tofauti na TBC, TV nyingine zilisema kiwango kimeshuka! hata magazeti ya leo yanathibitisha hilo!.

Swali, TBC walilenga kumdanganya nani? kwa malengo/makusudi/ gani? na manufaa ya nani? Chombo cha Umma kinapiga siasa hata katika maswala ya msingi kweli! Kunahaja ya kuwa na taasisi ya umma potofu kama hii?
 
Ndg. Wapendwa jana katika tarifa ya habari ya saa mbili usiku TBC walitangaza kuwa kiwango cha kufaulu matokeo kidato cha nne "chapanda" ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Hata Thread iliyokuwa ikipita chini ya luninga ilisoma hivyo. Tofauti na TBC, TV nyingine zilisema kiwango kimeshuka! hata magazeti ya leo yanathibitisha hilo!.

Swali, TBC walilenga kumdanganya nani? kwa malengo/makusudi/ gani? na manufaa ya nani? Chombo cha Umma kinapiga siasa hata katika maswala ya msingi kweli! Kunahaja ya kuwa na taasisi ya umma potofu kama hii?

Didia, Hivi huoni unjaza tu server za watubila sababu?, threads nyingine bwana!! umeona ukweli unao taka kweneye TV stations zingine na Magazeti then what else do you need? next time just tune to your best TV/Radio/News paper period!

yaani huwezi hata kufanya maamuzi ya nyumbani kwako hadi utafute ushauri humu?
 
kwa kweli hata mimi jana baada ya kuangalia taarifa hiyo ITV ilisema kiwango kimeshuka, ajabu nilishangaa nilipotune TBCCM ikasema kiwango kimepanda nilipigwa butwaa, ukweli kiwango kimeshuka kwa takribani asilimia 20.
 
Ndg. Wapendwa jana katika tarifa ya habari ya saa mbili usiku TBC walitangaza kuwa kiwango cha kufaulu matokeo kidato cha nne "chapanda" ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Hata Thread iliyokuwa ikipita chini ya luninga ilisoma hivyo. Tofauti na TBC, TV nyingine zilisema kiwango kimeshuka! hata magazeti ya leo yanathibitisha hilo!.

Swali, TBC walilenga kumdanganya nani? kwa malengo/makusudi/ gani? na manufaa ya nani? Chombo cha Umma kinapiga siasa hata katika maswala ya msingi kweli! Kunahaja ya kuwa na taasisi ya umma potofu kama hii?

that's why ukionyesha kutangaza ukweli tu , wanaku-Tido!!!
 
kwa kweli hata mimi jana baada ya kuangalia taarifa hiyo ITV ilisema kiwango kimeshuka, ajabu nilishangaa nilipotune TBCCM ikasema kiwango kimepanda nilipigwa butwaa, ukweli kiwango kimeshuka kwa takribani asilimia 20.

... Nimeipenda hii ! :clap2:
 
Didia, Hivi huoni unjaza tu server za watubila sababu?, threads nyingine bwana!! umeona ukweli unao taka kweneye TV stations zingine na Magazeti then what else do you need? next time just tune to your best TV/Radio/News paper period!

yaani huwezi hata kufanya maamuzi ya nyumbani kwako hadi utafute ushauri humu?

Mkuu lengo ni watu waijue TBC inapotaka kupeleka taifa hili. Nadhani kuona uovu na kukaa kimya kwa vile umepata unacho kihitaji sio hekima, razima tuwaseme, na tuwaseme;bila hivi hawawezi kujirekebisha


Ndg. aliyesema ni TBCCM nadhani anaipa jina jema
.
 
TBCCM imeloose reputation! tangu atoke Tido na nchimbi aingie uwaziri wa habari hakuna kitu pale!
 
Kama sikosei nilisikia waliopata kati ya division I na III ni asilimia 14. Kwahiyo in reality waliofeli ni zaidi ya 50% ni wengi sana inatia aibu. TBC wanapigia debe shule za kata za mabosi wao. "Kufaulu" kwa tafsiri yao sio kufaulu mitihani lakini ni kuweza kumaliza shule.
 
Ndg. Wapendwa jana katika tarifa ya habari ya saa mbili usiku TBC walitangaza kuwa kiwango cha kufaulu matokeo kidato cha nne "chapanda" ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Hata Thread iliyokuwa ikipita chini ya luninga ilisoma hivyo. Tofauti na TBC, TV nyingine zilisema kiwango kimeshuka! hata magazeti ya leo yanathibitisha hilo!.

Swali, TBC walilenga kumdanganya nani? kwa malengo/makusudi/ gani? na manufaa ya nani? Chombo cha Umma kinapiga siasa hata katika maswala ya msingi kweli! Kunahaja ya kuwa na taasisi ya umma potofu kama hii?

hivi nikikatwa PAYE ndo inakwenda kuendesha TBC1?
 
Didia, Hivi huoni unjaza tu server za watubila sababu?, threads nyingine bwana!! umeona ukweli unao taka kweneye TV stations zingine na Magazeti then what else do you need? next time just tune to your best TV/Radio/News paper period!

yaani huwezi hata kufanya maamuzi ya nyumbani kwako hadi utafute ushauri humu?
Mzee vipi umeomba ajira huko TBCCM? maana huyo bwana anataka kupata maoni toka kwa wana JF na kuweka ukweli wa hicho chombo hadharani ili tuwe waangalifu kwenye habari zao na tusiziamini bila kujiridhisha kwenye vyombo vingine
 
Back
Top Bottom