Hivi serikali ya JK haiuoni uchochezi unaofanywa na RADIO IMANI?

Status
Not open for further replies.
ile radio ukiisikiliza ni kichefuchefu kitupu yaani kila kitu wanasema 'sisi waislam' hawana maada za kuelimisha yaani kila siku vita yao ni ukristo
 
Serikali ikaanza kupiga ban vyombo habari ' chochezi', JF itakuwa ya kwanza! Vumilia tu ndugu!

Mkubwa,umewahi kusikiliza radio yenyewe?
JF hakuna uchochezi wowote,maana yanayo semwa humu ndani ni ukweli mtupu!
 
Waache waendelee na uchochezi,ingekuwa ndio radio Tumaini ,wangeingia mitaani kwa maandamano,waache waendelee na hizo kashifa zao ambazo haziwanyimi usingizi wakristo,kwa wakristo ni kuwasamehe kwani hawajui watendalo kuleni kitabu mupate elimu dunia waacha wao waendelee na alinacha za elimu ahera,na tuendelee kujenga shule,vyuo na mahospitali tusingoje kupewa na serikali,buure aghali teh teh
 
Hicho ni kiredio uchwara. Sera yake kubwa ni kukashfu ukristo. Kila wanachoongea lazima kiwe na nwelekeo huo. Kwa mtu mwenye AKILI TIMAMU bila shaka atajisikia kichefuchefu akisikia kinachotangazwa na redio hiyo. Ni upuuzi upuuzi uliozidi upuuzi.
 
Mtoa mada analake tu.Haishangazi kuona mnalalamikia radio imani.Tunajua hampendi kusikia wala kuona waislam wanaendelea katika nyanja zozote. Hilo litaendelea kuwauma na mpaka mnaingia kaburini nuru ya Uislam hamtaweza kuizima. Na kwataarifa yenu radio Imani iko 80% ya nchi yote,hivyo kama unadhani ipo Dar na Moro basi mmenoa. Kazi iliyobaki ni kumalizia 20% iliyobaki.Wenye roho mbaya na Uislam mpo? TV Imani nayo January hii itakuwa hewani. Kwa taarifa yenu tuko kamili,na kama mlidhan hatuwezi hapo mmechemsha.
 
Mungu anavyoipenda tz hii radio haiwezi kusambaa hata kidogo itaishia tu kulalamalalama

Kama una mashaka na chombo cha habari peleka malalamiko yako BARAZA la Habari, TCCR na Waziri wa Habari. Mtasema sana, mwaka huu wanaanzisha TV Imani!
 
zingekuwa kama 20 hivi kama izo radio iman,hakuna tatizo zaidi ya iman ya mtu,cjawai kusikiliza ila ndio maisha yalivyo juu ya imani ya mä
 
zingekuwa kama 20 hivi kama izo radio iman,hakuna tatizo zaidi ya iman ya mtu,cjawai kusikiliza ila ndio maisha yalivyo juu ya imanij ya m2
 
Mkuu uliyoyasema ni ya kweli, huwa nasikiliza mara moja lakini yote ni kusema ya kuwa wanaonewa na wakristo. Kwa mfano leo walikuwa wanazungumzia habari ya magazeti yao ya alnuur ya kuwa yatoke kila siku ili waislamu waelewe dhuluma wanayofanyia na serikali. Pia waliwahi kuzungumzia suala la kina Joti wa the original comedy kuvaa nguo za kike, nafikiria ile ni sanaa kwa hiyo kama dini yao haiwaruhusu kuangalia na Tanzania si nchi ya kidini, muda wa kipindi ukifika waangalie tv zingine. Ila kama wanazungumzia kuhusu imani yao na kuboresha vipindi vyao ni bora zaidi kuliko kupandikiza mbegu ya chuki kwa waumini wao. Waige mifano ya radio Maria ambayo husikii hata siku moja wakizungumzia kuhusu waislamu
 
Siku Wakristo wakianza kutumia media zao dhidi ya Uislamu ndipo utamuona JK na Dk Nchimbi wanakemea, tena itakuwa ni baada ya Waislamu kuandamana!
Pia ni vizuri tukumbushane kuwa ktk Uislamu hakuna habari njema bali vitisho na jazba. Mnategemea kusikiliza mafundisho na elimu gani kutoka kwenye dini hiyo?
 
Kwa mnaotaka kujua wanasema nn mfano juzi walisema?wanalalamika kua serikalini waislam wapo wachache kwenye top position,kadhalika waliwahi kusema Nyerere aliwanyang'anya shule zao walizojenga na kuwapa wakristo,pia juzi tuu walikua wanasema wakati wa Uhuru kwenye ujenzi wa Chuo kikuu walitoa mchango mkubwa mostly walikua waislam zaidi ya wakristo hahahahahaha hii nayo dushelele
 
Mtoa mada analake tu.Haishangazi kuona mnalalamikia radio imani.Tunajua hampendi kusikia wala kuona waislam wanaendelea katika nyanja zozote. Hilo litaendelea kuwauma na mpaka mnaingia kaburini nuru ya Uislam hamtaweza kuizima. Na kwataarifa yenu radio Imani iko 80% ya nchi yote,hivyo kama unadhani ipo Dar na Moro basi mmenoa. Kazi iliyobaki ni kumalizia 20% iliyobaki.Wenye roho mbaya na Uislam mpo? TV Imani nayo January hii itakuwa hewani. Kwa taarifa yenu tuko kamili,na kama mlidhan hatuwezi hapo mmechemsha.
Wakristu wanaanzisha vyombo vya habari ili kueneza habari njema ya upendo na amani kwa watu wote lakini ndugu zetu waislam lengo lao ni kueneza chuki dhidi ya ukristo.
 
Kama wewe ni mkristo nakushauri uache kuisikiliza hiyo redio. Kuna redio nyingi tu za wakristo, sikiliza hizo utapata mengi ya maana huko. Kusikiliza mahubiri ya dini nyingine ni kujichanganya.
Ni ushauri tu kwa mtazamo wangu
 
Washauri wakuu wa JK wana mawazo sawa kabisa na hao watu wa Radio Imani, sometime its hard to tell the difference.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom