sidhani kama nitafaidika na kitu au jambo jipya kwa kuisikiliza radio hiyo,na sidhani kama kuna ninachokosa kwa kutoisikiliza. Labda nielimishwe.
kwa kukusaidia tu ni kwamba radio imani itakupa utulivu wa nafsi kwani hakuna mamiziki, itakupa uwezo wa kujadili na kujenga hoja, isikilize kwa umakini ili uchanganye akili za kuambiwa na za kwako, kumbuka dunia ya sasa haki inachukiwa na uovu ndio unapendwa. Tafakari, chukua hatua.