Inapatikana ktk frequnce ngapi?Lakini mtu anawezaje kutangaza kitu kama hajafanyia uchnguzi?Tunafikishiwa taarifa sawa..anaetufikishia habari ameambiwa?Amesikia?Au ameona?Sababu kwa tanzania mtu atakuletea kiswaili Cha sasa(Navyoona mimi)Sasa najiuliza unavyoona ww.au unavyo fikiri ww kiswahili fasaha?Tujue tz tunapat habari zakufikirika?Niayo tuu.heri ya 2012.