Serikali ikaanza kupiga ban vyombo habari ' chochezi', JF itakuwa ya kwanza! Vumilia tu ndugu!
Serikali ikaanza kupiga ban vyombo habari ' chochezi', JF itakuwa ya kwanza! Vumilia tu ndugu!
JF ni chombo cha habari? Hujui kama JF haihusiki na content inayopostiwa na members? Usiropoke.
JF sio chombo cha habari? Wewe wa wapi wewe? Ze utamu ilikuwa chombo cha habari? Ze utamu ilikuwa user generated content web mbona ililamba ban? Unasoma seminary gani wewe?
Si ajabu hiyo redio inasema ukweli mtupu kama ile makala ya Kibanda basi wanaitwa wachochezi maana hizi zama za kifo cha CCM!!