Hivi Serikali hii ya Awamu ya 5 imeshindwa kweli kumshika na kumshtaki mtu anayeitwa Kigogo2014?

Status
Not open for further replies.
Wakuu Salaam;

Wapo watu wengi wameshikwa na kupelekwa mahakamani kwa makosa mbalimbali ya kimtandao.

Juzi kadakwa Idriss na hakieleweki hadi saivi, shauri lake linasoma ni makosa ya mtandaoni.

Waandishi wa Habari, Viongozi wa vyama vya upinzani imekua ni rahisi sana kuwaita kituoni na kuwapeleka mahakamani ikibidi pale ambapo wanaandika maudhui ya aina fulani mtandaoni. Hali hii imefanya pia wengine kupata kesi zilizobadilisha taswira ya siasa kutokana na hukumu zilizotolewa kwa wahusika.

Hali ni tofauti kwa mtu anayejiita Kigogo2014 anayetumia mtandao wa Twitter sana kuposti mambo mbalimbali, mengine yana kejeli kwa Mkuu wa nchi na sekta mbalimbali na hata viongozi husika.

Juzi kadakwa Mdude, na pia alishawahi shikwa na kuteseka kisa ishu ileile ya maudhui mtandaoni na hili kila mtu anakumbuka.

Mifano iko mingi kwa viongozi wa siasa hasa wa vyama vya upinzani waliopata kesi hizo.

Kwanini hii awamu ya 5 ya JPM isiojaribiwa kama anavyosema iliyopitisha sheria kuhusu matumizi ya mtandao imeshindwa kumshika mtu anayeitwa Kigogo2014 ilihali inaweza shika wengine kirahis tu?
Hao wanaoibia watu mitandaoni wamekamatwa wangapi? Na kila siku wapo na simu zao zimeandikishwa (registered) ukipata hilo jibu hutopata shida kuhangaika na huyo Kigogo2014 ambaye anajitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini umfananishe kigogo na huyo unaesema qa rwanda?
Je huwenda kigogo ni mwanafunzi tu wa IT hapa udsm? Si itakuwa imejiandaa na manguvu mengi ambayo hayakuhitajika!?

Kama kigogo ni real,
Basi atakuwa amewazidi kitecnologia.

Na huwezi jua labda kigogo analipwa na gvt!
Yule hashikwi kama kuku! Lazima kuwe na mipango na mikakati madhubuti hadi kufikia hiyo hatua unayoiongelea. Hata yule muuwaji wa Genocide ya Rwanda bwana Kabuga alikamatwa baada ya zaidi ya miongo miwili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Salaam;

Wapo watu wengi wameshikwa na kupelekwa mahakamani kwa makosa mbalimbali ya kimtandao.

Juzi kadakwa Idriss na hakieleweki hadi saivi, shauri lake linasoma ni makosa ya mtandaoni.

Waandishi wa Habari, Viongozi wa vyama vya upinzani imekua ni rahisi sana kuwaita kituoni na kuwapeleka mahakamani ikibidi pale ambapo wanaandika maudhui ya aina fulani mtandaoni. Hali hii imefanya pia wengine kupata kesi zilizobadilisha taswira ya siasa kutokana na hukumu zilizotolewa kwa wahusika.

Hali ni tofauti kwa mtu anayejiita Kigogo2014 anayetumia mtandao wa Twitter sana kuposti mambo mbalimbali, mengine yana kejeli kwa Mkuu wa nchi na sekta mbalimbali na hata viongozi husika.

Juzi kadakwa Mdude, na pia alishawahi shikwa na kuteseka kisa ishu ileile ya maudhui mtandaoni na hili kila mtu anakumbuka.

Mifano iko mingi kwa viongozi wa siasa hasa wa vyama vya upinzani waliopata kesi hizo.

Kwanini hii awamu ya 5 ya JPM isiojaribiwa kama anavyosema iliyopitisha sheria kuhusu matumizi ya mtandao imeshindwa kumshika mtu anayeitwa Kigogo2014 ilihali inaweza shika wengine kirahis tu?
Mkuu kwani huyo Kigogo 2014 amefanyaje hadi utake akamatwe,
 
Nadhani Kigogo2014 Ni mpango maalumu wa kundi la wanamtandao katika awamu hii ya 5, turejee mafaili wajameni.
 
nadhani kigogo2014 sio mtu mmoja, ni network ndio maana inachukua muda kuwaingiza kwenye 18, ila za mwizi 40.
 
Sio kwamba hawamtaki .... ni hawawezi kumpata. #over

Mengi tumeyajua kupitia yeye, maisha marefu kigogo.

Kila mtu na mapenzi yake. #hupangiwi
images%20(8).jpeg


...
 
Hiyo account ni kama kundi la watu, wanaingia kwa shift za masaa...24hours iko operational..na inaonekana iko locations tofauti ndani na nje..

Hata miandiko iko tofauti, kuna mmoja una typing errors za kutosha..mwingine grammar...ila kuna mmoja perfecto


Everyday is Saturday.......................... :cool:
 
eti hadi watu kutoka "taifa teule" wanemshindwa Mara sasa hivi ni CDF na waromania.........





✊💦
 
Kama mange kimambi walikua wanamjua sura , wanafahamu anapoishi wnawajua watoto wake na ndugu zake na aliwasumbua for years kila siku akizusha kitu kipya na kuzua taharuki kila siku. Hadi siku moja akawafanya polisi kama watoto wadogo kwa kuwapigisha kwata nchi zima huku wakizunguka na silaha za kivita mitaani.. lakini walimshindwa.

Sasa watamuweza mtu ambaye hawamjui jina wala sura
Huyo hawajamshindwa kabisa...Tatizo Sheria za hiyo NCHI ndio pagumu kidogo..Ila atue Airport tu Hata Sahv afu ndio urudi kupost wamemshindwa!!! Huyo mwingine Nahisi n Kundi la watu na sio mtu mmoja anaendesha hiyo AC afu tweeter ni ngumu kudukua taarifa za mtu Kama hivi viwhatsaap Sijui FB
 
Huyo hawajamshindwa kabisa...Tatizo Sheria za hiyo NCHI ndio pagumu kidogo..Ila atue Airport tu Hata Sahv afu ndio urudi kupost wamemshindwa!!! Huyo mwingine Nahisi n Kundi la watu na sio mtu mmoja anaendesha hiyo AC afu tweeter ni ngumu kudukua taarifa za mtu Kama hivi viwhatsaap Sijui FB

Typed Using KIDOLE
Na kwanini Mange arudi nchini Zama hizi atakuwa historia dakika sifuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom